Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Iko Dar maeneo ya Ubungo...Barabara ya Ubungo Maziwa Opposite na New Hotel ya Moveck..Hapa Utakutana na vinyozi safi kabisa wako smart wenye ucheshi mwanzo mwisho.. Mdada atakayekufanyia Scrab'...
0 Reactions
0 Replies
826 Views
Basi mbili zinauzwa tsh 15m tu, moja lina tatizo ya clutch plate imeungua na lingine lina tatizo ya starter na gear cable tu, njoo na fundi wako akague, if ur interest just pm me. Sent from my...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nzima haina tatizo rangi ya purple na cover yake Ni PM Anae taka Niko dar.
0 Reactions
1 Replies
982 Views
City college of Health and Allied Sciences wanakutangazia nafasi za masomo katika ngazi ya Diploma na Cheri.Kozi zinazotolewa ni za Famasi name Udaktari Msaidizi.Ada ni 1600000/= kwa day na...
0 Reactions
0 Replies
876 Views
Wakuu, Gari aina ya Toyota Prado Inauzwa, iko kwenye hali nzuri muhitaji ani PM bei ni Mil 27, Mileage 207,862, gari natumia Petrol, ni Automatic, linatumia mafuta lita moja kwa kilometa 7...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu habari....natafuta half engine ya collora old mode 4EFE. ninaweza lipa kwa installment then nichukue baada ya kumaliza....
0 Reactions
0 Replies
714 Views
Ni t better 150 kubwa imenunuliwa mwezi wa 5 mwaka huu haijavunjika wala kutengenezwa popote ila kila nyaraka halisi za pikipiki ukiihitaji piga 0788059054/0715059054 niko dodoma
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Dar es salaam -Samsung 40' LED Series 5, genuine, Surge safe, Full HD (1080P), Clear Motion Rate.. and several other features.. Inbox me for serious offers... The deal expires today 4pm. Fist...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Kuna machine mpya kutoka india ni ya kukamua mafuta nipo Dar kwa muhitaji tuwasiliane.
0 Reactions
15 Replies
8K Views
Kwa mwenye dvd home theatre tafadhali awasiliane na mimi. Siitaji spiker wala sub woofer.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza gari aina ya Noah ipo kwenye hali nzuri, namba ni T___ BZ_.. Specification zake ni hizi.. Make : Toyota Model: Noah Colour: Silver Yeah: 2001 CC: 1998 Odometer: 112,000 Price ni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu naomba anaejua kama kuna sehemu ninakoweza kufanyiwa full body massage hapa Morogoro mjini. Nilienda vijijini na fuso yaan mwili wote unauma. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
5 Replies
8K Views
mimi ni mwalimu idara secondry niko moshi mjiii nahitaji wa kubadilishana nae dodoma mjini morogoro mjini au dsm tuwasiliane 0714462292
0 Reactions
0 Replies
834 Views
Je unahitaji nembo au logo itakayoweza kuwakilisha biashara yako mahali popote pale.Basi wasiliana nami ili uweze kupata logo iliyo simple na yenye uwezo wa kuwakilisha biashara yako mahali popote...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Gari lipo Dar,linasafirishwa kuja Arusha kuanzia Tarehe 20th,August. Limelipiwa kilakitu. Bei $55,000/=.Negotiable Call 0784982858
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Samsung Galaxy 3,380,000tsh.Samsung Galaxy S.3 380,000tsh,Samsung Galaxy S.4 580,000tsh. ina chaji na headphone zake mpya.Samsung GaLaxy Trend 280,000tsh. HTC XL 340,000tsh,Samsung Galaxy S.2...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nipo dar, Bei ni 350,000... Jina linabadilika baada ya wiki 2 , Line hazijawah kutumika ni mpya, Mwenye kuhitaj ani PM alaf tutaongea kama ana maswal zaid, aache na namba yake ya simu...
0 Reactions
1 Replies
773 Views
Kiwanja kinauzwa kimbiji kigamboni chenye ukubwa wa nusu heka bei milioni 6 eneo halipo ktk mradi wa mji mpya kwa mawasiliano zaidi 0657868981
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja chenye ukubwa wa nusu heka kinauzwa kimbiji kigamboni km 1 toka baharini na kiwanda cha cement bei milioni 6, kwa mawasiliano 0657868981 nb eneo halipo katika mradi wa mji mpya na sababu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom