Wadau naomba kuuliza. Mimi ni mfanyakazi wa serikali,nahitaji mkopo. Nahitaji kujua mfumo wa makato wa CRDB na NMB. Kuna mtu alinimbia CRDB wanatumia reducing system na NMB wanatumia direct...
Hello wanajamvi,natafuta chumba chenye vyumba viwili,kiwe ndani ya fensi,kiwe maeneo ya kimara.Budget ya malipo iwe maximum laki mmoja kwa mwezi.Mwenye information zozote ni PM please.
Kwa wanafunzi wote mnaosoma hizo combination tatu au una mwanao anasoma mojawapo kati ya Comb hizo,tunatoa private tuition kwa ubora wa hali ya juu na kwa bei nafuu sana....Hii ni special kwa wale...
Habari ndugu zangu,
Kwa wale walionunua simu za Tigo, Airtel, Vodacom au kutoka mtandao mwingine wowote wanaotoa offer ya simu aina ya Huawei Ascend Y300 Y301 Y330 Y511 na Y530 nazifungua ziweze...
Wadau habari za mchana wa leo?
Ninahitaji kununua mashine (portable) ka ajili ya utambuzi wa noti hasa US Dollars.
Kwa mtu aliyonayo AU anayejua wapi ninaweza kupata,tafadhali anijulishe kwa...
Tatizo la hii gari ni Hand brack na gear namba 4 inachomoka.
Cc 1800
Type: Toyota Avensis
Year: 2001
Fuel: Petrol
Namba : T360 BEE
Ipo barabarani..
Engine: 7A
Manual Car
BEI 3,500,000
Naomba...
Kiwanja kinauzwa kikiwa na nyumba ambayo haijamalizika yenye vyumba viwili vyote ni master,sitting room,jiko,store na public toilet.
kiwanja kimepimwa na kina hati
bei ni milioni 70 mazungumzo...
Wana JF baada ya kuvamiwa na "Mbwa Mwitu" zaidi ya 10 nyumbani usiku, na kuibiwa na kujeruhiwa nahitaji ulinzi zaidi. Nahitaji Mbwa walinzi German Sherperd pure. Mwenye kuuza au anajua wapi...
Make Suzuki. Model Grand Vitara. Model Number J20A. Body type Station Wagon. Colour Green. Year of Manufacture 1998. Engine Capacity 1995. Fuel used Petrol. First registration 17/8/2010
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.