Huku kwetu nimechunguza nikaona biashara ya kukodisha bajaji za kubeba mizigo ni nzuri
Na nikaongea na wanaoziendesha wakasema hesabu ya tajiri kwa wiki ni sh elfu72, na gharama za kununua...
Ipo pesa cash, 3m kwa yeyote mwenye hiyo Escudo milango 5, ilimradi iwe inatembea na ina vibali husika
Je unayo? haraka tuma picha kwa Whasapp 0754734009
Nimepata mahali pakuchukuwa magunia ya TANGAWIZI ila nataka kujuwa bei ya kuuzia kwa gunia moja ni Tshs.ngapi kwa KARIAKOO?
ASANTENI KWA KUNIJIBU KWA WALE WANAOJUA BEIYAKE.
UNWEZA KUNI PM
Year of manufacture 2001, 4Cylinder, km 131000, Automatic transmission price 8.5m (there is a room for negotiation)
No middlemen, for further details you can reach me through 0655/0783 393035 ...
habari wakuu nauza laini yangu ya uwakala wa vodacom m-pesa bei tshs.200,000/= tu!!!!!! bei inapungua.Kwa anayehitaji nicheck kwa namba 0654404707.napatikana dar es salaam.
Habari. Nyumba kubwa inapangishwa eneo tajwa hapo juu. Ina vyumba viwili,store, jiko,public toilet, dinning,sitting room pia ina tiles. Maji yapo. Gari linafika mpaka mlangoni kwako. Haina uzio...
Habari Jf,
Tunauza Deodarant spray kwa bei ya jumla, bei Tsh 3500 kwa pic1..tunauza kuanzia pic 40 nakuendelea na unaletewa hadi ulipo kwa Dar es Salaam.
Call : 0718 446935
Wadau haka kapiki piki nakauza, trafic wanasumbua sana mpaka kero na najikuta sina kwa kuendeshea kulingana na maeneo nnayoishi. Haina shida yoyote ila watoto wa ernest mangu wamenichosha sana...
Tafadhar kwa yeyote mwenye vitu vifuatavyo naomba uniuzie,
1:scanner
2:binding machines
3:stepler machine ya saiz ya kati
Kwa mtu mwenye hivyo vitu naomba tuwasiliane kupitia 0788562816 asanteni
Nauza mafuta halisi ya alizeti yasiochakachuliwa ujazo ni lita 5 bei ni tsh 16500 kwa lejaleja napatikana mwenge Itv na mbezi beach makonde, karibuni sana
Habarini wakuu. Mwenzenu natafuta ipad iliyo kwenye hari nzuri iwe na memmory kama 16gb, camera nzuri na sehem ya lain pia wireless kwa bei nafuu kwa mwenye kujua ilipo naomba ani PM
wakuu naomba kwa mwenye information anijuze hivi hii SUV kuifikisha hapa Bongo inakuwa kiasi gani? ikiwa msrp (manufacturer's suggested retail price) ni 60,795 USD (100,311,750 Tshs).
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.