Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Brand new size AA battery na charger yake. Battery ziko nne na charger inaweza kucharge hata size AAA. Imported from the US, bei ni 35,000 tshs
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Mwenye hiyo kitu tafadhali
0 Reactions
1 Replies
880 Views
Natafuta Universal GSM Modem yenye more than 7.2Mbps.
0 Reactions
49 Replies
6K Views
Wadau nyumba inatafutwa urgently (Dar), chumba na sebule, iwe self contained, full furnished...location nzuri na budget isizidi $500PM...call me 0714010511 or pm
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ukiiona, wewe mwenyewe utakataa kwamba sio used. Haina utofauti kabisa na mpya. Screen size - 15.6 in - 1366 x 768 Processor - Intel Core 2 Duo T5800 - 2 GHz RAM - 4 GB Hard Drive - Intel GMA 160...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Vifaranga wa kuku wa kienyeji wanahitajika haraka sana.Naomba Contact na bei zake
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Nina hela isiyozidi laki nane 800000 iwe kwenye hali nzuri mawasiliano yangu 0785151618
0 Reactions
1 Replies
1K Views
MWENYE NAYO ANITAFUTE
0 Reactions
4 Replies
2K Views
KIWANJA KIKUBWA CHENYE HALL KINAUZWA. BEI YA KUTUPA: KINAPATIKA YOMBO KILAKALA MAENEO YA CCM (DAR ES SALAAM), KARIBU SANA NA BARABARA KUU YA LAMI, UMEME NA MAJI NI KUVUTA TU VIPO KARIBU SANA. BEI...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
husika na kichwa hapo juu external zinauzwa aina=>TOSHIBA Uwezo=> 1 terabyte(1000Gb) Bei=>160000Tshs. kwa anayehitaji contact me:0757006221 au ni PM tufanye business. THANX
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu natafuta suzuki maruti omn za india kama kuna mtu anayo naomba anitumie whats up kwenye 0657 236094 iwe ni nzima na bei isizidi 4ml sichagui namba ila tu uzima wa gari bas
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Do you have dream,,, are you ready to learn new thing,, do you know that there is a fortune in network marketing and do you believe that there 1000 of tanzanian who earns more than 3million a...
0 Reactions
1 Replies
689 Views
kiwanja chanye hati kinauzwa Kibada, Kigamboni. kina 498sqm bei yake ni 14ml. kwa mawasiliano 0719077350
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wadau. Wale wanaopenda kujifunza kutengeneza Apps za Android tukutane Arusha Tech kutakua na course itakayoanza 18/08/2014 kwa wiki moja na bei ni sh 80,000/= tu hio ni phase 1. Na phase...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Mitandao jamii imekuwa moja ya nyenzo imara kabisa ya kujitangaza na kuwafikia walengwa wengi kwa uharaka na mapana zaidi kwa njia ya mtandao. Jiulize swali dogo tuu, je kwa siku za karibuni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Simu tajwa hapo juu inauzwa, ina internal memory ya 16gb ina support whatsapp, instagram na gadget zote. For more details 0717022737
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Simu ya nokia inauzwa inasapot whatsapp na internet 3G bei ni elfu 60 na haipungui if interested find me 0759960313 sorry nimeshindwa kuweka photo
0 Reactions
0 Replies
948 Views
Nataka kujua kama kuna mtu anawafahamu hawa jamaa na recommendations zake vipi? Maana naona bei zao kama zimepunguzwa sana Jina la kampuni Phokas Enterprises (UK) Ltd wanauza simu na vifaa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Jamani mwenye pikup tani moja iwe ya Nissan au Toyota tuwasiliane ofa mil tisa ila kama inakidhi viwango hata kama zaidi ya hapo tunazungumza. Iwe nzima yenye no kuanzia b pia ianzie mwaka 1996
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Viwanja vinauzwa pamoja na shamba vyote viko maeneo ya Kongowe / Churwi Mbagala. Mwenye uhitaji wa kiwanja na au shamba waweza kuwasiliana katika simu nambari 0754-441-333 / 0787-441-333 au...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom