Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Gari: Toyota Vista (ardeo) Haina scratch wala damage yoyote Imeendeshwa na my wife tangu inunuliwe Very immaculate condition Bei 5mil. Negotiable Pm or call me in 0714010511
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada wenu, natafuta campuni inayotoa mikopo kwa riba na masharti nafuu, ili niongeze mtaji wangu kwenye biashara. Ukitaja campuni naomba na Contacts itarahisisha sana. Asanteni...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wadau naomba kujua gharama zote nitakazolipa hapa Dar es salaam mpaka chombo kiingie mkononi, ikiwa CIF ni US dollars 2000 Thanks in advance
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Get exclusive offer from Multitec IT web solutions Get a free website to advertise your business/company/organization online The offer is valid for seven days from today 12/08/2014 and it...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Toyota Carina for Sale. Plate number T-CCY. Imported Sept, 2012. Price:- 8M negotiable. Gari ipo Dar el Salaam. For serious buyers, Call now: 0686569989.
0 Reactions
0 Replies
834 Views
WanaJF naomba msaada wenu Nataka kununua Machine ya kusaga Mahindi hapa Arusha au naweza kuagiza Moshi kwa ajili ya kamrdai kadogo ninakotaka kufungua, Nimefunga umeme wa three phase, na...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari Zenu Wakuu,mm Ni Mama Anaemiliki Ngombe Zaidi Ya 1000 Nje Ya Mji Huko Monduli. Natafuta Tenda Ya Kuwauzia Watu Maziwa Ya Jumla Kwa Bei Nafuu Kabisa Ilimradi Uwe Na Usafiri Wa Kufuata...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Going Bongo ni movie ya kwanza ya kimataifa iliyotengenezwa na Watanzania na kuwashirikisha Wamarekani, Wakenya na nchi nyingine mbalimbali kama Italy, UK, Serbia, Malawi, South Africa na...
5 Reactions
98 Replies
62K Views
Godown kwa ajili ya kukodiwa karibu na bandari Dar linahitajika haraka, Size: 500 to 700 sqm. Kama unalo au unamfahamu aliye nalo simu 0769142586 au fadhilipaulo@gmail.com muda wowote.
0 Reactions
0 Replies
830 Views
WAKUU NAUZA SIMU LG OPTIMUS L9 WITH ALL ITS ACCESORIES SIMU INA SIFA ZIFUATAZO: NETWORK: 2G & 3G SCREEN SIZE: 4'7inches MULTITOUCH: YES INTERNAL MEMORY: 4GB RAM: 1GB CPU:Dual Core Cortex 1Ghz...
0 Reactions
2 Replies
987 Views
16GB MODEL GT N7000 Price 357,000/=tshs 0659223322
0 Reactions
1 Replies
1K Views
s4 clone pocket original 0683953700
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Mimi ni mtumishi wa serikali nilie ajiliwa chini ya TAMISEMI Natafuta kampuni au mfanyabiashara yoyote anaeweza kunipa mkopo wa gari aina ya noah au hiace kwa mkataba wa kumlipa pole pole kutoka...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Nataka kufanya biashara na mtaji ni dola 8500 lakini mpaka sasa sijajua nifanye biashara gani naombeni ushauri
0 Reactions
8 Replies
1K Views
imetembea 8000km.. mwaka 2007.. engine capacity 2400. bei 25m.. Gari iko vizuri. kwa mawasiliano na picha +255653168981
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Unlocked modem ya airtel yenye kutumia line zote inauzwa hapa. Kama uko interested. PM then tutalonga mengi zaidi. Bei yake ni 20,000/Tsh
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanajopo natafuta soko la mahindi popote Tanzania,mi niko Dodoma nina mahindi kama gunia 200 mwenye kunisaidia soko nikayauze.ajira hakuna nimeamua kujijiri mwenyewe
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wadau nauza hivyo vitu tajwa hapo juu..printer za hp zko mbili kila moja 90,000 na cctv camera zko mbili kila moja inauzwa 140000. Ni vitu vimetumika vilikua stationary so nahamisha mtaji nmeamua...
0 Reactions
3 Replies
861 Views
Nyumba inapangishwa Tabata shule karibu na mahitaji muhimu ya jamii kama hospital shule ya msingi na secondary kituo cha polisi. Umbali wa hatua kumi kufika kituo cha Tabata Shule. Nyumba...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom