Tunauza mizani ya aina zote(Analog&Digital).
brand new products:
Endel
Radwag
Salter
Tanita
Alfa mirage
Animal scales
pia tunafanyia service/maintenance to all
weighing equipments...
Nauza maziwa ya watoto aina ya SMA, COW and GATE na APTAMIL from UK , nauza kwa order aulipii pesa yoyote mpaka utakapokuja kuchukua mzigo wako na order inachukua kati ya siku 7-10, Kwa...
iam seling the all container Decoder is Strong 4669Xii, an HD and Mpeg hence can pick v weak signals. Price 6500 Satelite dish 60cm @ Ksh 1200, 90cm @ ksh 1800, ( minimum 20pcs )
Kwa wale wadau wa classic cars, Kuna huo mzigo uko sokoni kwa Mil 21.
unapatikana Dar es salaam.
ni gari ya mwaka 2005, imetembea km 123000 uko kwao Japan. color ni nyeupe. Engine ya cylinder...
Nilikuwa nahitaji kununua mashine ya kuweza kukunjia vyuma inayoweza kutengeneza mapambo/mauamaua kwenye madirisha na milango ya chuma. Mashine hizo ni za kutumia mikono(manual) na inamuzesha...
A)
Nyumba ipo kiwalani bombom kijiwesamli
Inavyumba 3 mmoja wapo master
Inachoo cha ndani kimoja
sebule, jiko
inauwanja mkubwa wakupumzikia pamoja na choo cha njee
Gharama yake ni 350000...
Music Producer anatafuta Studio kwa ajili ya kutengeneza muziki wake.. Baadhi ya wasanii ambao tayari amekwishafanya nao kazi ni Alikiba, Abdukiba, Alex wa machejo na wengineo.
Studio isiwe nje...
Nauza HTC My toach 3g Kwa Th Elf 60 tuu!! ni android 2.2.3 na bado ipo kwenye good condition wasiliana nami kwa simu namba 0764361843 ama unaweza kuniPM
Wakuu habarini za leo na poleni na majukumu., mimi nipo Arusha nahitaji sana hao bata kwa ajili ya ufugaji. Mwenye taarifa mahali naweza kuwapata anisaidie tafadhali. 0767476295
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.