Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Nokia X2 yenye uwezo wa kusupport whatsApp inauzwa kwa bei ya Elfu 80 tu . Nipo dar es salaam kwa mawasiliano zaid nicheki kwa 0714499248. Ukitaka kuijua zaidi Google " Nokia X2".
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Toyota IST inauzwa bei ni Tshs 8.8m, ina namba CY, for more details just pm. Sent from my iPhone 4S using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna mdogo wangu anatafuta chumba kidogo cha ukubwa wa mita 1 hadi 2 upana na urefu mita 3 kwa ajili ya kufanya biashara ya vipodozi na accessories zake. Kiwe Arusha kwenye eneo zuri kwa maana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna kaka yangu ana shamba la matikiti maji (water melons) Ruvu Station yameshakomaa kwa kuvunwa yakutosha gar kadhaa yeyote anataka kununulia Mzigo shamban wasiliana na +255 715 476 787 or +255...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aina ya simu: G G2 -- D802 Hali yake:Mpya, Uwezo: 16gb internal memory, 2GB Ram, Camera: 13mpx camera ya nyuma & 2.1 ya mbele & flash, OS: Android OS, v4.2.2 jelly bean...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nahitaji pikipiki iwe kati ya aina hizi; FEKON,KINGLION au SUNLG bajeti yangu ni 1M. Iwe haijatumika zaidi ya miezi sita na iwe kwenye hali nzuri. Aliyenaye na interested hiyo bei ani PM
0 Reactions
0 Replies
909 Views
Ni masey furgason 165. Moja diesel na nyingine petrol.. Piga 0714 045 080.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
zifuatazo ni baadhi ya sababu za msingi *utapata (taaluma) au ujuzi kimapana zaidi kama ww ni mtafutaji mzuri. *mazingira mazuri ya kuishi na kujifunzia pia. *hali ya hewa ni nzuri, japo kunakuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Natafuta mteja wa eneo la beach kyela 15km kutoka mjini lina mchanga na kina kifupi. Lina apartment haijakamilika. Mil 50 lakini bei inaweza kujadiliwa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
line ya mpesa inauzwa garama ni laki na themanini tu mwenye kuhitaji just nijulishe via pm nipo moshi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Abel g ndo jina langu,umri wangu ni miaka 26,elimu yangu ni kidato cha sita na nimehitimu mwaka 2013 na kufahuru vizuri kwa daraja la pili ila sikuweza kuendelea na elimu ya juu kwa kukosa pesa na...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ngugu wa Jf nitakusaidia au nitakufutia kiwanja au shamba maeneo yafuatayo:-mbezi luis. Makabe. Msakuzi. Mpigi magoe. Msumi. Msigani. Malamba mawili. Tegete A. Nk. Nilivyo navyo ni m20 kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Laptop inauzwa ni samsung min bei ni maelewano.. Piga 0718934313 kwa mawasiliano. Muuzaji yupo Dar.
0 Reactions
2 Replies
777 Views
natafuata frem iwe kubwa nzuri zakhem mbagala iwe karibu na barabara ya kilwa road.tuwasiliane 0683142500
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Aina ya Laptop: Samsung Mini N100SP, Hali yake: Used, Uwezo:320hdd, 2GB ram, 1.66Ghz processor Intel Atom n455, Camera: 2mpx, vga, OS: Window 7 Home premium, Sifa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habar wakuu Naulzia mtu anaeuza Sumsing Gallaxy S4 copy ya kwanza, kwa mwenye kuuza simu hii tuwasiliane PM Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadau nahitaji pool table mpya napata wapi na bei ikoje? 0773 944 944 kwa mawasiliano
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Ndugu za ile nia ya kuwapatia makazi bado ninayo njoo uone viwanja kuanzia milioni 3 na kuendelea. 0713686329
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mchele safi unapatikana kwa Kilo Sh1000/= na maharage ya njano na soya kwa Kilo Sh 1900/= aliye tayari 0773422526. Kilombero
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Habari, Tuwasiliane kama ungependa kununua gari hii. Inafika Tanzania ndani ya week tatu kutoka sasa.. Maelezo ya gari yako hapo chini. YOM: 2007 Mileage: 61,194 Engine size: 2360cc, VVTi...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
Back
Top Bottom