Naombeni mnisaidie nauza simu yangu maana nina matatizo sana ya ada ya shule.Simu naiuza kwa pesa za kitanzania shilingi 120,000/= .
Lakini pia inapungua.
Kwa mawasiliano zaidi 0654944654
Original samsung galaxy tab 10.1 16gb internal memory
comes with charger ,usb cable ,leather case and wireless keyabord
price 500000tsh only
contacts 0713388226
Kiwanja chenye fence kinauzwa kipo kibada barabara kuu ya lami iendayo kongowe. Ni kizuri kwa kujenga hoteli, apartments au biashara nyingine yoyote pia kuna sehemu ya kuweka frame za biashara. Ni...
Jipatie T-SHIRT na MASHATI pouwa yaliotengenezwa kwa nakshi Za Vitenge aina YA MACKENZIE original.
PRICE (REJA REJA)
** T-SHIRT - 20,000 kwa Kila moja
**MASHATI - 25,000 Kwakila moja
PRICE...
Kama unahitaji kukarabati sofa zako zilizochakaa au unahitaji sofa mpya, na kwa bei nafuu sana ,isiyozidi 1M kwa
set ya viti 5 mpaka 7&9 kwa design unayotaka wewe,na inaanzia 280,000/- kwa sofa...
Nyumba inapangishwa ipo kiseke nyumba za PPF mwanza, 1 master bed room, 2 rooms, public toilet, sebule, kitchen, water, power mda wote, ample space-kwaajili ya parking, watoto kucheza, garden etc...
Habari wanajf,kichwa cha habari kinahusika!Nauza line ya tigo pesa kwa tsh 700,000/(laki 7) tu.Na fax machine kwa laki 9 tu,aina ni samsung.Waweza kutumia kwa kutuma fax na photocopy machine.NIPO...
Nauza Techno Phanom A+ only for 300,000 imetumika kwa wiki 2 tu,unapata kila kitu anzia power bank,headphone na mazagazaga yote yanayokuja na simu,pia na box lake lipo
Kama uko interested...
Habarini wadau
Naitaji Screen protector ya kuweka kwenye simu yangu
aina ya voda google pamoja na Power bank za bei nafuu nitazipataje?
na je ni bei gani wadau?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.