Pikipiki ya miguu mitatu (maarufu kama bajaji) aina ya tvs king (rangi nyekundu kama ilivyo pichani) inauzwa. Imetumika kwa mwaka 1, iko katika hali nzuri sana.
Bei ni Tsh 3,200,000 mazungumzo...
Wakuu salaam, nahitaji kupata mikanda ya saspenda kama anayopenda mzee masako mwanahabari mwandamizi wa itv, tafadhari mwenye kujua inakopatikana hapa Dar anijuze
Wadau, mimi nawasaidia wale ambao wanataka kufanya shughuli za kilimo lakini wapo bize na kazi zao nipm tuwasiliane. Lakini pia muda huu ni mzuri kununua mazao kwa sababu mikoa mingi wanavuna...
Hello wanabodi, Ninaomba kufahamishwa sehemu ambayo ninaweza kupata shati za linen za ukweli hapa DSM. Nimejarinu kupita baadhi ya maduka ila mengi ninayokutana nayo ni size ndogo wkt mimi...
Kiwanja kinauzwa ni kwenye mradi wa viwanja vya serikali vilivyopimwa Bunju B, ukubwa ni sqm 956 pia jirani pana kipande amacho hakijapiwa kina ukubwa wa sqm 600,kiko kwenye umiliki wa mtu mmoja...
Wakuu nauza simu aina ya Sony
Xperia Z kwa shilingi 800,000. Pamoja na specifications zake
nilizoziainisha hapo chini, simu hii ni waterproof na ina siku 3 tangu
inunuliwe nje ya nchi...
Shamba linauzwa lipo maeneo ya kibungo pembezoni mwa barabara ya pemba mnazi upande wa bahari,lina ukubwa wa ekari 54,linafika mpaka baharin...bei ni 60 milions,p linafaa kujengwa hotels kubwa za...
GARI INAUZWA KAMA ILIVYO
- Inatembea, good working condition
- Bei ni TSHS 23,000,000 au USD 15,000 (Maelewano yapo)
- Dalali hatakiwi, mwenye gari anaongea mojakwamoja na mnunuzi
- Kwa...
Habari za kazi
Binti wa kitanzania anatafuta chumba kwa ajiloi ya kupanga nyumba maeneo ya SINZA, KIJITONYAMA, SHEKILANGO na UBUNGO.
Bei kwa mwezi kuazia 50,000/= hadi 80,000 kwa mwezi kulingana...
Premio ya mwaka 1998 iko sokoni.
imetembea km 115300. Plate number inaanza na BX***. rangi white. Inapatikana Dar es salaam.
bei mil 7. ila mazungumzo yapp kwa mnunuaji makini.
mawasiliano 0755815174
Samsung Galaxy 7.1 Tablet with Internal memory of 16 GB and 1Gb RAM is available for sale at reasonable price of 450,000/= only.
It has got no defects at all. Contact: 0787459850
Ipo katika hali nzuri kabisa. Ni karibu mpya kabisa maana nimeinunua mwezi wa nne tu, mwaka huu.
Pia niliiwekea HD invisible shield hivyo hakuna hofu ya kwamba kioo kitakwaruzika.
Mwenye maswali...
habari wakuu Nauza laptop yangu aina ya Siemens Processor 1.60 ram 1GB, hard disk 160,cD room
tatizo lake ni battery tu 7bu linakaa dk 40 xo kama uko interested nicheki kwa number hzo 0713943432...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.