Habari zenu wanajamvi?
Nauza viwanja vyangu viwili.
Ukubwa kila kiwanja: 35mx35m
Mahali vilipo: Visiga - Kibaha
Umbali toka Morogoro road: 2km (upande wa kushoto kama unaelekea Moro)
Bei ya...
Kiwanja kipo Moro Kihonda kwa chambo. Ukubwa 600sqm huduma za umeme na maji zipo. Umbali toka barabara kuu Moro- dom km 2. Bei 7m mazungumzo yapo kwa anayehitaji. Cont. 0715500248, 0756171831.
Wapendwa,
nipo kijijini ambako umeme bado japo kwa speed waliyonayo tunataraji ndani ya mwaka utafika
naomba kujua laptop inayokaa na charge kwa saa Saba na kuendelea na screen size iwe kuanzia...
Kiwanja kikubwa kiko kilometer 12 kutoka Mwanza airport na kipo ufukweni wa ziwa Victoria, kinauzwa kwa bei Milioni 450 maelewano yapo , kina ukubwa wa square meters 30,000 ( acre 8) unaweza...
Ndugu wana jamvi nauza projector inayoitwa Aiptec ni projector yenye redio,deki ya cd na sehemu ya frash ni projector nzur by the way kwa yeyote anae itaji tuwasiliane kwa namba 0788562816 na kwa...
Wanabodi
nina nyumba yangu moja naiuza. Kwa kuwa ramani yake ni ghorofa moja,mimi nimeijenga mpaka kwenye slub (nimemwaga zege la juu) hivyo bado kumalizia ghorofa ya juu. Kibanda cha mlinzi cha...
Simu tajwa hapo juu inauzwa kwa 170,000/=
ina rangi nyeupe
ina miezi mitatu toka inunuliwe pia ipo katika hali nzuri.
kama uko interested unaweza kunitafuta kwa 0655 477748 au 0767 477747...
2 bedrooms, own luku and waters. Inside the fance. Location-close to AICC FLATS KIJENGE. Price 350,000tzs/month
Main roads are accessible within 10mins walk. Call 0784246838.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.