Habari za asubuhi watu wa humu!
Naomba msaada wenu, kwa yeyote mwenye kujua kampuni zinazotoa huduma ya CLEARING kwa upande wa magari, kampuni ambazo zipo smart, hazina usumbufu, hamna nenda...
Habari ndugu wana jf, Mimi Ni kijana mjasiria Mali nafanya shughuli zangu kanda ya ziwa. Nahitaji used corolla au Carina about 1999 au 2000 goli langu Ni 4mil, kwa alie kanda ya ziwa na yu tayari...
Wakuu Mniwie radhi kwa wale Ambao Sio Wanajimbo la Mlalo ila JF naamini ni sehemu sahihi kabisa kutoa Tangazo hili ambalo Nimelibandika kwa niaba ya Uongozi wa CHADEMA wilayni Luahoto hasa Jimbo...
habarin wanafamilia hapa, jaman ndo naanza maisha, pesa ya kuingia dukan sina kwa sasa, mweny tv,radio alaf akaamua kuuza aniuzie wapendwa. saiz yoyt ile ila isiwe mbovu. 0782168784
jamani hii inatokana na baadhi tunaoweka matangazo tunapotafutwa unakuta hatupatikani au unakuta kitu kinavyo tangazwa na ukikiona unakuwa hoi
Jamani tutoe sifa km kitu kinachouzwa kilivyo sio...
vipo viwili vinaukubwa wa hatua 20 kwa 20,eneo zuri halina mambonde wala miinuko,vina hati zake ambaye anahitaji tunaweza wasiliana pm,bei ni milioni 4 kwa kila kimoja
Habari zenu,
Ninatafuta vitabu kwa ajili ya wageni wanaotaka kujifunza Kiswahili.Nahitahji hasa intermediate na advance level.Mwenye taarifa ya mahali vinapopatikana anijuze.
Car for sale with following details:
Price: Tsh 18 million
Make: Mitsubishi canter
Condition: Good running, it is on road.
Engine type: 4D32
Engine capacity: 3.6cc
Registered Tanzania: 2013...
Wakuu natafuta Warehouse kwa ajili ya kuhifadhi mbao kabla ya kuzi export nje....lisiwe nje saana ya Dar es Salaam,nafikiri Kibaha ndiyo maximum point toka city centre.Wenye ishu PM tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.