naiuza gari hili, ina cc 1400, automatic, petrol inatumia, gari ni ya mwaka 98,gari haina tatizo lolote na vibali vyote viko valid..bei ni 4.8mln...gari liko dar.kwa aliyevutiwa nalo ani...
Ndugu zangu kwanza niwashukuu saana nilipata gari mlilonishauri Baada ya kifanyiwa uchambuzi wa kina hapa.
Naja Mbele yenu tena Naomba mwenye Hiace kwa ajili ya biasharaNamba za usajili C anijize...
RAV 4 NEW Model inahitajika iwe na cc 1800 kushuka chini
Isiwe na zaidi ya mileage 120,000 kushuka chini
Automatic transmission
Iwe katika hali nzuri
Serius business seller let's communicate even...
Waungwana nataka kubadili madirisha niweke ya Alminium.. maana nimechoka kurekebisha wavu wa mbu kila mara na familia inawasiwasi na mbu wa Dengue
Sijajua bei ya madirisha haya na milango yake...
Simu v875 bado mpya imetumika miezi3 tu. Specification zake: Internal memory 4gb,Ram 512mb, Os android 4
#Kwa anayetaka kuinunua bei 85,000
#0752953860
#nipo Dar
lipo mbezijuu unashuka tankibovu dakika ishirini mpaka kwenye eneo, maji yapo umeme upo lipo kwenye makazi ya watu aliyesirious anitumie sms 0689315582, bei haishuki hata kidogo.
Tunatengeneza computer aina zote, tuna nunua na kuuza pc na Laptop, Tunadesign software including Database, website, Blog etc
Tunafanya web hosting na Domain name registration, networking etc...
Habarini wakuu, nauza mixer. Mashine mpya ya kukorogea mchanganyiko wa keki ya kg/litre 20 kwa bei ya 2.5 mill only.Nipo dar
Najaribu kuattach Picha inakataa, ukinipm number yako ntakutumia...
HABARI ZA MAJUKUMU WADAU KUNA MZIGO MPYA WA SIEMENS DESKTOPS KUTOKA UJERUMANI KWA BEI NZURI YA 320,000/=
SPECIFICATIONS NI KAMA IFUATAVYO:
RAM 4GB
Duo Processor 3GHZ
Hard Disk 170GB..
Kwa...
Habari wana JF!
Nna ndugu yangu yupo Machimboni maeneo ya CHATTO mkoa mpya wa Geita,
nimeongea nae kwa kirefu,anasema kuna viwanja na maeneo (yenye dhahabu chini ardhini) yaliyopimwa tayari na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.