Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Pikipiki ina miezi saba tuu tangu niinunue k/koo, na injini yake haijawahi kushushwa.iko katika hali nzuri and naiuza kutokana na usumbufu wa madereva bei:mils 1.5 contact:0766611751...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanajf natafuta gari ya milioni 6. Isizidi cc 1600. Iwe imelipiwa kila kitu, nikinunua ni kuanza kuendesha. Hii gari inahitajika haraka iwezekanavyo.
0 Reactions
21 Replies
4K Views
Rejea kichwa cha habari shamba lenye ukubwa wa hekari 14 LINAUZWA maeneo ya Kisaki. Ni zuri Kwa shughuli Za umwagiliaji na unaweza kufanya KILIMO mwaka mzima,hakuna season wewe ni kufanya crop...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Nipo Arusha nauza hiyo smartphone 450000 bado maelewano yapo mawasiliano pm,
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Habari wakuu... Nilikuwa nahitaji mtu ambaye nitaweza kubadilishana nae simu.. #mm natumia Tecno Phantom A plus (A+) bado mpyaaa,nakupa na tsh 60,000 ( Elf 60) *android version 4.2.1 jelly...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Waungwana nauza eneo ukubwa wa ekari 2.23 Acres,Kaole Bagamoyo unapakana na bahari ya Hindi.Bei ni maelewano tumkama uko interested nicontact kwa mazungumzo.Am availbale through 0715-951337
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Note 3 black, 32gb brand new inauzwa ina kila kitu chake bei 830k.
0 Reactions
1 Replies
922 Views
Sqm 1008(robo heka),kinafaa kwa makazi,kipo njiani na gari inafika mpaka kiwanjani.400mita kutoka Bagamoyo Road(main road). Bei 25 milioni,mazungumzo yapo. 0787485629/0764075649.
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kampuni ya Chinaworldbuz Company Limited ni kampuni ya vijana wa kitanzania na kichina yenye ofisi yake Ghorofa ya 10, Ushirika Tower, barabara ya Lumumba, Mnazi mmoja Dar es salaam, Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu. Nahitaji chumba( master) na sebule,jiko..maeneo ya kinondoni au kijitonyama,,anayeweza kunisaidia asanteni
0 Reactions
5 Replies
1K Views
bei sh 100,000 nipo arusha, kwa maelezo zaid ni pm au nipigie 0754293133
0 Reactions
0 Replies
680 Views
Nahitaji gari used either Toyota Carina or Premio. I need ur offers, and this is for only serious sellers. Call +255653319922
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habari wna jamvi, kuna ndugu yangu anafanya kozi ya kushona na kudarizi, sasa anahitaji mashine inayoshona na kudarizi, naomba msaada wapi naweza kuinunua na inaweza kuwa shilingi ngapi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NEW MODELS LAPTOPS ZINAUZWA KWA BEI NZURI,NI LAPTOPS ZA AINA YA HP NA DELL BUSINESS CLASS LAPTOPS AMBAZO NI IMARA NA ZINA HYPER SECURITY SYSTEMS NI LAPTOPS ZA MATUMIZI YOTE YA...
0 Reactions
0 Replies
998 Views
Kiwanja ni sqMeter 600,Tambarare,Barabara na umeme vipo! Kiwanja kipo Dar-kinondoni-gobaB marobo. #Bei milioni 7 wasiana #0752953860
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nipo Mwanza - Ukerewe nauza gari aina ya starlet mill.6. engine capacity 1330 aina B auto petrol mwaka1999 doors 5 haijaguswa engine na imelipiwa kila kitu.nauza sababu ya matatizo.kwa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamani Nina lakimoja 100,000 na Simu ya Nokia lumia 510 nataka simu mpya na nzuli mwenye nayo nicheck. 0769825792
0 Reactions
0 Replies
719 Views
Tunatengeneza LOGO za makampuni, biashara binafsi, camps, teams, shule, vikundi vya ujasiliamali, tunaprint t-shirt kwa logo uipendayo na vinginevyo, BEI ZETU NI RAHISI SANA. Mawasiliano zaidi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natafuta gari bajeti mil 3,serious sellers
0 Reactions
10 Replies
2K Views
[quote="Walad Amin, post: 9273092"]IST inauzwa Year 2004 Millage 70000 Condition well maintained Price 9,999,999/=
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom