Nauza gari aina ya Suzuki Escudo yenye milango 5. Imetembea km 118,000. Bei million 8. Engine bado ni nzuri na hajawahi kuwa na tatizo. Mazungumzo yapo kwa atakayeonyesha nia ya kununua.
Nauza Nokia N9 ina specs zifuatazo:
Network 2G,3G,Mini-SIM,Wifi,Wifi Hotspot
Display 3.9' Super Amoled Screen
Internal Memory 16GB,RAM 1GB
Camera 8MP
CPU 1 GHz Cortex A8
Iko poa kabisa.
Bei...
Viwanja vinauzwa! Vipo Kivule Magore, Ukubwa na bei ni kama ifuatavyo
1. Sqm 587 sh 15m
2. sqm 798 sh 25m
3. Sqm 3412 sh 60m
Viwanja vyote vina hati na vimezungushwa ukuta. Kwa mawasiliamo piga...
Yeyote mwenye eneo la kuuza kuanzia heka 10 na kuendelea, liwe maeneo ya kuanzia Mwenge hadi Tegeta.
Anipm au email; buyanza@gmail.com. WhatsApp: 0712 787939
Msisitizo: Eneo hilo lisiwe mbele ya...
Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga.0783201037.
Single:upana 33 kwa 210 urefu.
Double:upana 45 kwa 210 urefu.
Habari wakuu naombeni kama kuna mtu yeyote anaye anayeuza uza kreti za soda zenye chupa aniuzie au hata kama una chupa tupu hata kuanzia kumi pia sio mbaya kama utaniuzia kreti na chupa zake...
natengeneza simu online kam ina tatizo kati ya haya yafutayo
1.imezima gafla
2.haitaki kuwaka
3.umeshau password so unataka kuflash
4.imejilock
5.inawaka na kuzima
Na nk kifupi ni tatzo...
Kwa yeyeto anayehitaji kiwanja hecka moja kipo maeneo ya mikindani mtwara barabara kuu ya mtwara dar-es-salam wasilana na mimi kupitia namba 0656071876 or 0754756100
Milango ya mninga inauzwa kwa bei poa,ipo single na double kwa mawasiliano piga simu.0783201037.
Single:upana 33 kwa 210 urefu
Double:upana 45 kwa 210 urefu.
Bei:single 180000
. double...
Habari wa JF!
Napangisha nyumba ni units mbili. Unit yani upande mmoja una vyumba viwili, jiko,sebule na public choo + bafu. Kuna tank la maji fence na parking pia. Kuna vibanda vya mbwa na kuku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.