Wakuu linatafutwa eneo linalopakana na barabara ya Morogoro eneo la Kibaha lenye ukubwa wa heka 3 au zaidi kwa ajili ya kufungua yard. Tafadhali kama kuna mtu anafahamu upatikanaji wake atupie...
(20 x20)m kwa tsh m7. Eneo malamba mawili mbezi. Iko karibu na stand ya daladala. Piga 0784246838 kwa maongezi zaidi. Ukitaka eneo kubwa zaidi inapatika hapohapo.
Wadau habari zenu?
Naomba msaada wenu,ninahitaji kupata mayai ya Tausi ISHIRINI,kwa anayejua namna ya kupata naomba mnijuze.Mimi nipo Arusha mjini. Simu 078714032 au niPM.
Je umebahatika kukutana na tablet yenye uwezo wa aina hii.....
1.CPU: MTK 8389, 1.2GHz, Cortex A7 Quad core
2.OS: Google's Android 4.2
3,RAM: DDR3 1GB
4.NAND flash RAM: 8GB -32GB(optional)...
Natafuta nyumba ya kupanga,ni nyumba ya kuishi na si ya biashara, maeneo ya sigara chang'ombe jirani na TCC club.
Iwe na fence na geti,sebule na angalau vyumba 2 vya kulala,maji na luku ya...
Habar wakuu.nimefanya tafifi zangu na ninerizika sana na uwekezaji wa bar mjini morogoro.changamoto niliopata ni kupata sehemu hivyo mwenye taarifa ya sehemu nzuri ya kukodisha au mwenye sehemu...
Habari wakuu,,
kama nilivyosema hapo awali, kama kuna mtu mwenye mercury anauza au anafahamu mahali inapopatikana tafadhali tuwasiliane!!
Uhitaji ni mkubwa tafadhali nahitaji ushirikiano...
Wakuu habari ya kwenu? mimi nipo Arusha, ninatafuta fundi wa kunitengezea Konica Bizhub Minolta C. 280. Mwanzo ilikuwa inatoa error fulani mara inapotea lakini siku za karibuni inatoa error 5501...
Nauza AC split unit aina ya Sanyo bei ni laki nne na nusu tu. Halina tatizo lolote ni la kuchukua na kufunga tu.
Sent from my iPhone 4S using JamiiForums app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.