Habari zenu ndugu,
Naomba msaada kutoka kwa wapenda maendeleo wenzangu. Naagiza magari ya kuuza lakini focus yangu ni kuuza mikoani kwani mjini sasa hivi kila mtu anaagiza magari na demand...
wadau please naomba tusaidiane katika hili maana kiukweli madalali wanasumbua
NIMEWAPA WIKI NZIMA yaani anakupigia simu mnaenda mkifika anakuonesha unamwambia mbona maelezo ya sim nahapa ni...
A nice located plot 2,953 ft2/900 m2 on Nelson Mandela Road near Tabata traffic rights, has old residential buildings which can be demolished and build new building ideal for commercial purposes...
Ninauza dagaa wasafi kutoka Mwanza walioandaliwa vizuri bila mchanga.
Bei kilo moja nishilingi 5000/=
Kwa mteja anayehitaji kilo kuanzia kilo100 nakuendelea aliepo mikoa ya Singida, Dar es...
Habari zenu wana JF?
Kuna mtu anatafuta mtu anayeweza kumwandalia cash flow na kumpangia vizuri rekodi zake za mahesabu (mapato na matumizi).
Yuko Dar (Kimara)
Type:toyota
Model: passo
Man yr:2004
Eng capacity:990cc
mileage:84,564
sport rims,Dvd player and comprehensive Insured
Bei negotiable...wasup au inbox numba 0717297923 if ur interested
Wakuu,
Ninauza Oil ambayo tayari imetumika ( chafu ) nina jumla ya pipa 20 pipa moja ni Tsh 150,000 napatika mbagala rangi 3
kwa anayehitaji tuwasiliane 0657145555
Tunatengeneza bidhaa aina ya lotion,Body cream,Jelly zinazotokana na mimea,na matunda kama vile: ALOEVERA,Parachichi,Mzeituni,kitunguu swaum,Nazi,Carrot, ni bidhaa bora,zimethibitishwa na TBS,Ni...
Habari wanajamii,,nahitaji upande wa kupanga,room moja na sitting room,na jiko km lipo,,maeneo ya kijitonyama mpaka morocco. Kwa anayeweza kunisaidia dalali nitashukuru. Asanten.
TOYOTA HARRIER 2005 - Stock Id: 415402 FOR
TSHS 27M
Chassis # ACU30-0036379
Car Make TOYOTA
Car Name HARRIER
Year/Month 2005/6
CC 2400
Transmission AT
Color Silver
Fuel Petrol
189000 km mileage
Jaman naomba msaada wa kupata kioo(touch) ya nokia lumia 820,maana simu yangu ilidondoka na kioo kimecrack ,Je huwa zinapatikana? na kama zinapatikana wap na bei gan?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.