wadau natafuta bidhaa tajwa hapo juu,iwe kampuni yoyote, iwe kwenye hali nzuri, isiwe na michubuko, ukubwa kuanzia inchi 14 na kuendelea. bajeti yangu 150,000
nipo Arusha
contacts:- 0684204980
Kiufupi Mimi ni mtumishi wa serikali Nimeandaa script nzuri asili ya kabila la kihaya kuna kaela kidogo kama mil5.zamaandalizi ya a wali nahitaji mtu aliyetiyali kucheza awe na ela kidogo...
Ninahitaji mabanda ya kukodisha kwa ajili ya ufugaji wa nguruwe au kuku. Yeyote mwenye mabanda hayo au anaejua mahali yanapopatikana katika jiji la Dar tafadhali anifahamishe. Namba yangu ni...
Haya sasa vitu vyote n used mwenye uhitaji tuwasiliane PM.
Mkoa n Dsm
Kitanda 5X6 bei 130,000.
Godoro super banko 5X6 110000.
Mtungi mdogo oryx 70,000
Meza ndogo 25,000.
Monitor ya dell 19' Sh...
Habari za asubuhi wana jf nauza Samsung S5 clone mpya ikiwa kwenye box 📦, Made in Korea,
Nina pcs 5 rangi ya Gold,white,na black, bei Tshs 420,000/= laki 4 na elfu ishirini, kwa...
nauza samaki wa mapambo aina tofauti kama zifuatavyo
black more
shiling 9000 kwa pea
serfin more
shiling 9000 kwa pea
orange more
shiling 9000 kwa pea
gapi wekundu
shiling 9000...
Jamani ukienda kununua hzo lain za mpesa wakala,hiyo hela unayotoa ndo inakuwa ya kudeposit au ya kununua ni hela yake na ya kudeposit ni hela nyingine?mwenye kujua naomba anieleweshe
Habari za asbuhi wakuu...nauzaaa hiyo simu kwa laki 2 na 50.
#imetumika kwa wiki 3 tu.....nakupa na all its accessories
##for business u can PM me 2ongee
Wadau habari zenu?
Kwa wale wanaohitaji kupata barua za mwaliko"Invitation letter kutoka nchi mbalimbali wanazotaka kutembelea,na wameshindwa kupata passport au VISA,basi wawasiliane nami ili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.