Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nauza samaki wa mapambo aina tofauti kama zifuatavyo black more shiling 10000 kwa pea serfin more shiling 10000 kwa pea orange more shiling 10000 kwa pea gapi wekundu shiling 10000 kwa pea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SIMU IPO ktk Hali nzuri bei LAKI TATU INAWEZA KUPUNGUA KIDOGO 0714892595
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari ya asubuhi wanaJF. Ninayo Nokia Lumia 800 yangu ninaiuza. Kama kuna mtu yeyote ambaye atahitaji naomba anitumie ujumbe.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Unahitaji spea za Nachuatec/ Ricoh, Kyocera photocopy machine na wino (toner) wake wasiliana nasi kwa namba 0784626616 kwa bei poa kabisa. Ni GENUINE, ORIGINAL parts. Epukana na bei za kutisha...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nitapata kwa bei gani??? bajeti yangu laki 2
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Gari ipo poa haina tatizo lolote. Bei milioni 4.5/- Nipo dar
0 Reactions
9 Replies
4K Views
MASHUKA KWA AJILI YA HOTEL YANAHITAJIKA KWA BEI YA JUMLA,pm me
0 Reactions
1 Replies
1K Views
natafuta kiwanja mjini kasulu kigoma kiwe low density
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta nguruwe wadogo kwa mtu anae wauza au anjua wapi wanapatikana anitafute kwa namba 0768896293 au 0653634503 nipo dar es salaam kijitonyama
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Nahitaji simu yenye whatsapp nina elfu hamsini call 0657088003
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Kiwanja cha biashara kilichopo mwambani beach tanga chenye ukubwa mita za mraba 11060 kina hati miliki ya miaka 99 bei nafuu sana wote mnakaribiswa. MOBILE; 0652-915837
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Poleni kwa shughuli za kujenga Taifa wana jamvi. Nipo Arusha nahitaji gari la kukodisha kwa siku moja(jumamosi jioni hadi jumapili mchana 17-18 may 2014) kama unatoa huduma hii au unaweza nisaidia...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
zinahitajika pikipiki 4 (san lg, boxer au fekon) nzuri. bajeti ni milioni 1 na laki 2 kila moja. asante
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Plz take a time to read it, ni information muhim sana..!! Habari wana jf! Naomb niwataarifu kua kuna UTAPELI upo na unaendelea so uwe makini sana.! Utapeli huo n sms feki za direct either tigo...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiwanja cha biashara kilichopo mwambani beach tanga chenye ukubwa wa mita za mraba 11060 kina hati miliki ya miaka 99 bei nafuu sana wote mnakaribiswa mobile; 0652-915837
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wapendwa wanajamii..Mtu yeyote mwenye kujua zinakouzwa machine za kutengeneza bisi zinakouzwa au mwenye yuko nayo..Tafadhali tuwailiane.. Nahitaka Ni ambie na bei ni kiasi gani( Unaweza Kuni PM...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kiwanja maeneo ya Kinzudi jirani na Sarasara kinauzwa, ndani kuna jengo halijaisha, ukubwa wa eneo ni sqm 1000 bei 38ml, kwa mawasiliano piga 0773 944 944, meza ya mazungumzo iko wazi.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Bandugu line 2 za tigo pesa zinauzwa kila moja Tsh.550,000 zimetumika hapahapa Dar. kwa mawasilianno na maswali piga no 0773 944 944 karibuni.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
2004 model, 1998 CC, A/C, mileage 114000km,Navigation, radio. CD, very good condition, imettumika 1 yr in Tanzania, PRICE 10 M, serious buyers call me 0684_109192
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenye vyumba viwili na sebule(Umeme na maji kama vinapatika ni advantage.. Ila Vyumba vya hadhi yoyote ili mradi mazingira yawe rafiki kwa watoto) Pasiwe na vurugu sana sehemu hiyo..!
0 Reactions
3 Replies
989 Views
Back
Top Bottom