Kama heading ilivyo hapo budget yangu ni 400000 Tshs iwe iko poa haina tatizo i dont care much about brand names except mchina wa ajabu mfn landrover etc.
PM ukiwa tayari kwa kuuza.
nauza simu tajwa hapo juu ni nyeupe... 330000/= nitafute niwatsaap au text me 0714533946... imetumika mwezi mmoja tuu... sababu ya kuuza ni kuwa nna nyingine
Naomba ushauri wenu kuhusu toyota ist engine size 1290cc, kama ni gari yenye madhaifu gani? Maana ndo gari kwa kiwango changu naona itanifaa ila nahitaji ushauri wenu wakuu natanguliza shukrani zangu.
Salaam.!
Nahitaji Subwoofer iwe na sifa zifuatazo-
FM Radio Uwezo wa kuplay Kwa flash disk
Uwezo wa kuplay na memory card
Uwezo wa kuunganishwa na vifaa vingine kama tv,computer nk
Mwenye...
Wadau mambo vp ......wapi ninaweza kupata milango ya kichina ya nyumba kwa hapa dar....? Na inauzwa shs ngap ?....main door ni shs ngapi ? Na ya vyumbani ni shs ngap ? Shukrani wakuu
karibu tuwekeze shamba ekari 27 kigamboni satelite city karibu na kiwanda cha lake cement linafaa kwa makazi ya kisasa, shule, hotel, soko la kisasa(supermarket) au kiwanda. Bei ni 350 million...
Wadau nasaka kiwanja hapa Dar kwa bajeti tajwa hapo juu. Maeneo Kigamboni,Chanika,bunju au popote ambapo nitaridhika napo. Kwa mwenye nacho naomba ani PM,akieleza eneo kilipo,ukubwa wake...
Guys natoa huduma ya kutengeneza logo au nembo kwa ajili ya biashara fulani,kampuni,website,event na kadhalika kwa bei nafuu kabisa tsh.30,000/= tu kwa anayehitaji logo awasiliane nami kupitia...
Guys natoahudumaya kutengeneza logo au Nembo kwa ajili ya biashara fulani,kampuni,website,event na kadhalika kwa bei nafuu kabisa tsh.30,000/= tu kwa anayehitaji logo awasilianenami kupitia 0689341445
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.