Wadau kwa yeyote ambae yupo interested tupadilishane, nakupa I phone 5 mpyaa ndani ya boksi we unanipa S3 pamoja na hela tsh 350,000/= I phone ni original. Kwa yeyote aliye tayari anipm tufanye...
Mzungu anayemiliki godown hilo tajwa ambayo ina heka tano
Nyumba kubwa ya vyumba vitano pamoja na master bedroom pia inaweza kuongezewa ikawa gorofa
Servant corters mbili zenye chumba na sitting...
Plot nzuri na tambarare yenye ukubwa wa miguu 28 / 25 naiuza bunju b. Ni nzuri si mbali sana kutoka barabarani kwa bodaboda ni sh1000 tu. Gari inafika mpaka huko.
Nimepunguza bei ni sh 5.5m...
Tunauza vipodoz bora na original kutoka ndani na nje ya nchi kwa bei unayo imudu.Duka lipo Kawe opposite na kanisa la roma Kawe.
Mawasiliano:
Simu:,0719094897
Tunahitaji godown mbili kariakoo na maeneo ya karibu na kariakoo.
1. Godown lenye ukubwa wa mita za mraba(squire meter) 500 hadi 700 ( 500m3 - 700m3) liwe maeneo ya kariakoo au nje kidogo ya...
1.super 1900
2.mediam 1800
3.kawaida1500
upo wa rukwa, kyela na sumbawanga
maharage soya kiblankti 1800
maharage red rose 1700
maaragemekundu 1500
mahare ya nyano 1800
call...
Naomba mwenye kufahamu wapi naweza kupata digital thermometer (iwe contact au infrared) anijuze. Sio clinical thermometer kwa ajili ya kupimia homa, bali thermometer inayoweza kupima mpaka degree 300.
Hey guys kama title inavyosema .......nataka mtu aliye willing tubadilishane simu. Mimi nina a jailbroken iphone 3g ya 16Gb iko kwenye hali nzuri. Nataka mtu yoyote mwenye simu original na iwe n...
Tatizo kubwa la watanzania wengi ni kuagiza magari kwa kuogopa risk ya kutuma pesa kwa wasiowajua huko Japan na muda ambao gari huchukua kufika Dar na nchi zingine za Afrika. Pia kuna wauza magari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.