Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
simu tajwa juu hapo zinahitajika kama unazo nitafute
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau hope mu wazima wa afya, ninahitaji ofisi ya kushare katikati ya mji mfano posta na maeneo ya jirani, mnazi mmoja na maeneo yote ya jirani, along nyerere road kuanzia tazara kwenda posta...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Inatafutwa used LandRover 110 pickup kwa ajili ya shughuli za shamba. Iwe katika hali nzuri. Kwa yeyote anayeuza/anayejua inapouzwa tafadhali ani-inbox.
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Wadau mwenye mchongo wa chumba cha kupanga maeneo ya Kigamboni tujuzane. Bajeti yangu haizidi 80,000/-,kama naweza kupata self itakuwa poa sana. Ila sipendi nyumba yenye wapangaji zaidi ya watano...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
GARI IPO MBEYA MJINI GARI INATEMBEA VIBALI HAI HADI JUNE 2014 INAWEZA SAFARI YOYOTE BODI ZIMA BEI 2.8M 0754734009 Attachment za picha naendelea
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nauza kiwanja changu ambacho hakijapimwa maeneo ya kigambon mwembe mdogo jiran kabisa na magorofa mapya ya NSSF. Kiwanja ni nusu heka kiko barabarani kabisa. Kama utakua interested wasiliana na mm...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
SIFA ZA SIMU HIZI HAPA: General 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 900 / 2100 HSDPA 1700 / 2100 - American version SIM Mini-SIM Announced 2009, February Status...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Samsung tablet 10.1 inatafutwa, iwe used au mpya inahitajka kwa haraka. Bajeti yangu ni 500,000,kama unayo tuwasiliane kwa 0718-267085.
0 Reactions
0 Replies
888 Views
Wadau nahitaji stablaizer nina friji inatumia 110 mwenye nayo tufanye biashara.
0 Reactions
4 Replies
884 Views
Habari WanaJF, Nauza NOAH yenye hadhi ya upya! Imetembea 41000KM to upya wake, AV multisystem (CD, MD & TV), wood stylish finish, Ready installed alarm system, well maintained with service...
0 Reactions
34 Replies
4K Views
Habari zenu... natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya ilala,vyumba viwili hadi vitatu maximum,bajet yangu ni laki 3-laki tatu na nusu kwa mwezi,kwa yoyote anaeweza kunisaidia na hilo,asanteni.
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Nahitaji kuagiza laptops 10 _15 hivi, nitumie ebay au alibababa? Kwa idadi hiyo itanigharimu kiasi gani hadi kuletewa dar?
0 Reactions
1 Replies
830 Views
kwawanaojua naombeni mnijuze bei ya nokia lumia 720..pls
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza line zaTigo Pesa na M-Pesa. Jumla zipo 6 : Tigo Pesa line-2, M-Pesa line-2, M-Pesa head office -1 , M-Pesa second sim -1 . Nauza zote kwa pamoja 1,500,000 kwa sababu M-Pesa till...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hembu niambie hii ya Chanika,maana mie nina nyuma Kule nilimjengea Mother, Sasa hizi Heka zipo maeneo gani ya chanika?
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Habarini wakuu, Nahitaji battery mpya ya laptop ndogo aina ya sumsung, Ni PM kama unayo au duka la kuipata.Thanks.
0 Reactions
0 Replies
651 Views
Habari wanajukwaa. napenda kuwajulisha kuwa sasa unaweza pokea fax zako zote kwa kupitia simu yako ya mkononi kwa kupitia huduma yetu ya fax2Email inayotolewa bure kabisa. unachotakiwa kukifanya...
0 Reactions
2 Replies
949 Views
Wadau nauliza kama kuna yeyote anayefahamu mahali ninapoweza kuacha gari kuanzia asubuhi hadi jioni (kwa malipo) pale maeneo ya Mbezi mwisho. Maana foleni sasa imekuwa balaa hapa mjini. Ni bora...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
ninauza/kupangisha banda langu ambalo lipo dar es salaam maeneo ya kongowe-toangoma. Lipo karibu na barabara kuu iendayo kigamboni. Kutoka kongowe unashuka kituo cha sako ni kituo kama cha 6...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Used accer mini laptop for sale HDD 320 GB Ram 2GB price 250,000 Tsh call 0766 782 643
0 Reactions
2 Replies
860 Views
Back
Top Bottom