Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wadau, mwenye gari ndogo (salon car) manual, iliyo katika hali nzuri kabisa inahitajika. Iwe imelipiwa ushuru na nyaraka zote muhimu.Iwe ni gari yenye ubora na kiwango na si bora gari. Mimi nipo...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Lipo kando ya barabara ya Mkuranga-Kisarawe Road.5km kutoka Kilwa Road.Umeme upo na maji ni ya kuchimba.Bei 200milioni.0754856277
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jiko la kupikia/kutengeneza burger linauzwa iko kubwa na dogo bei 1.9milion zote linatumia umeme...kama kuna mtu ana idea ya biashara hiyo au anataka kufungua sehemu ya kuuza burger anicheck...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MUNGU MKUBWA……..TUNAANZA KIDOGO………..MUNGU AWABARIKI NDUGU NA RAFIKI ZANGU Hatimaye kesho naingia rasmi Kuzungumzia SOMESHA MTOTO MMOJA. Asubuhi kuanzia saa moja na robo nitapata muda wa kufafanua...
0 Reactions
1 Replies
918 Views
Ni original kwenye box, inatumia line mbili...4G internet, 4gb internal memory, 1gb RAM, 5MP of camera kwa shs 550,000
0 Reactions
7 Replies
2K Views
napatikana dar es salaam...nitaarifu gharama zako kupitia 0718355635
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Used but in a very good condition.comes with charger and cover. Price: 280,000 Contact:0759151593 Dar es salaam.
0 Reactions
1 Replies
629 Views
Gari nahalinzuri sana, inafaa kwamatumizi binafsi au Tax, nitext kwa 0717100777 nikutumie pictures kwa whatapp bei ni Tsh.4.5mil, maelewano yapo, unaruhusiwa kutest na kukagua gari, imelipiwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu nahitaji sofa nzuri za kuchonga za kuamninika, kwa mwenye kufahamu zinapopatikana ntashukuru sana anijulishe.
0 Reactions
15 Replies
10K Views
Nauza sim hapo juu samsung galaxy clone Bei laki 1 pungufu unaongea Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
0 Reactions
2 Replies
696 Views
flat screen tv za singsung nchi 24/25 mpya au used sh. Ngap?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Specs; Dual Line, SD Slot, Fm Radio Location; Dar Contacts; 0715872035
0 Reactions
5 Replies
945 Views
habari kwa wale wazeee wa copy galaxy s5 tayari nnazo kwa bei hiyo ukihitaji nipm
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari jf users Ni wapi naweza pata mashine ya kukanda na kuoka ngano kwa ajili ya mikate ,keki, biscuits nk Pia wapi naweza pata mashine kwa ajili ya kufulia nguo na kuanzisha dry cleanings
0 Reactions
5 Replies
1K Views
habari wakuu jaman naomba kujua kuhusu hii kampuni ya forever living product, kwann kampuni inataka watu wengi wajiunge? halafu kwanini inasemekana inatoa faida kubwa sana kwa wanachama?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wakuu kichwa cha habari hapo juu kinahusika!! Nahitaji modem aina ya huawei e303 bajeti yangu ni tsh.15000/=. KAMA UNAYO NICHECK HAPA 0786404808
0 Reactions
4 Replies
841 Views
Habari zenu tizama hiki kitu kwa bei ya Mil 12 imekamilika kila idara ipo daresalaam imeshalipiwa kila kitu mpka bima kwa mawasiliano 0712212220
0 Reactions
16 Replies
4K Views
m-power ni kampuni iyo toa huduma ya umeme wa jua(solar) za kukodisha.inakupa ofa ya mtambo wa daraja la kwanza ambao unauwezo wa kuwasha taa kubwa 1 na ndogo 1 na kuchaji simu kwa gharama ya...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kiwanja kipo maeneo ya Vianzi.kilimeta 3 kutoka kongowe.Kipo sehemu nzuri tambalale.Kina ukubwa wa hatua 40 mtrs kwa 25mtrs.....kwa mawasiliano piga 0713649555
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza lain ya mpesa na airtelmoney kila moja laki na elfu sabin.mpesa lak na 70 na airtel money lak na 70 karibun.waweza wasiliana nami kwa namba 0712620078
0 Reactions
0 Replies
875 Views
Back
Top Bottom