Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kwa anayemfahamu fundi wa kujenga mitambo wa biogas kwa kutumia matofali tafadhali naomba mawasiliano yake,ni kwa ajili ya matumizi nyumbani !
0 Reactions
6 Replies
6K Views
Wanajamvi nauza kiwanja chenye ukubwa wa karibu nusu ekali kipo eneo la Dodoma makulu njia ya kuelekea chuo kikuu cha UDOM. Ukikihitaji ni PM tuwasiliane kwa maelezo mengine. Asante!!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari zenu wana jf.mwenye toyota starlet anicheck nina 4 mln cash.......
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji simu tajwa hapo juu bajeti yangu elfu 60
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Plot nzuri ipo bunju b ninaiuza ni miguu 25/28. Maji umeme vyote vipo si mbali kutoka barabara kuu. Ni sh 5.8m tu ila maongezi yapo.
0 Reactions
2 Replies
916 Views
Kipo umbali wa mita 150 kutoka barabara iendayo dodoma karibu na mizan ya kihonda.... Miguu 25 kwa 25.... Mwenye kuhitaji aje pm.......... Kwa mawasiliano zaidi. 0759421027
0 Reactions
4 Replies
987 Views
Salaam, natafuta wall papers za kukava ukuta. Kwa anaejua zinapatikana wapi tafadhali naomba kufahamishwa.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NIPO LINDI NA MTWARA kama unahitaji ramani ya NYUMBA,GUEST HOUSE,HOSTERI ,SHULE,KANISA ,,e.t,c karibu tutimize lengo lako,,, wasiliana nasi kupitia 0712006246 OR 0788855496
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nafanya service magari aina zote kwa computer niko Arusha
0 Reactions
3 Replies
707 Views
Natumia vifaa vya kisasa kubaini itilafu kwenye gari nipo Arusha
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Ndugu wana JF ninahitaji line ya tigopesa kwa yeyote mwenye nayo; budget yangu ni tzs 180, 000/ ni Pm tufanye biashara kwa mtu ambaye yupo serious tu.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nina laptop Acer Aspire Imetumika miez 6 tu. HDD 500GB,RAM 2GB,2.38 DUO CORE Processor Webcam,Bluetooth,DVD RW,3-hrs Battery Life Nataka nibadilishane na mwenye simu isiyozd Laki 2 +Top up. Kama...
0 Reactions
0 Replies
624 Views
Simu ni nyeupe na imetumika kwa miezi miwili tu. Ipo na Earphone na charger yake na Cover lake. Google specifications zake. Bei ni 220,000
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Nauza hiyo simu tajwa hapo juu ni mpya ina miezi miwili toka inunuliwe Ni nyeupe kwa rangi + free backcover Bei ni 170,000 kama uko interested ni pm, call or Whatsapp kwa 0655 477748
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Imetumika kidigo being laki mbili name nusu wasiliana name no 0754992446
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Jamani wapendwa nataka kujua, Laptop used aina ya DELL (Platinum Dual) yenye inch 17 na uwezo wa kawaida kwa ajili ya kufundishia ntapata kwa bei gani Zanzibar?? Mwenye kufaham tafadhari...
0 Reactions
12 Replies
12K Views
USED: Iko katika hari nzuri ina toa video nzuri na sauti imetulia. BEI: Tsh.850,000 tu. Maelezo zaidi 0763364005
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nipo Arusha natafuta Nokia C7 au Nokia E7 kwa mwenye nazo nicheck 0764118083 tufanye biashara..au hats nokia e6 na n8 ziwe kwenye condition poa
0 Reactions
1 Replies
867 Views
Ina 16GB internal memory na 2GB RAM, android 4.2 upgradable, 13MP camera na LED flash plus ina tumia 3G na 4G mitandao
0 Reactions
4 Replies
922 Views
Back
Top Bottom