Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
natafuta Frem ya biashara maeneo yafuatayo. - tegeta - Mwenge Sifa zinazotakiwa, iwe inatazama barabara kuu za mtaa au kwenye mkusanyiko wa watu wa kutosha kuvutia biashara. Mwenye kuwa nayo au...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Eneo lenye ukubwa wa heka moja linauzwa KISERIAN-MOSHONO bei 45m. Ni eneo zuri sana. Hapo kwenye picha ni hilo hapo lililolimwa lenye udongo mwekundu. Yeyote atakay eitaji tuwasiliane pm.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Salaam. Gari aina ya Alterzza model 2000, ikiwa imelipiwa ushuru wrote pamoja na namba za usajili inauzwa Tshs. 8.5Million. Imetembea km 70,600 tu. Ina screen tatu pamoja na key vibration security...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu ndugu zangu naamini mu wazima wa Afya, Poleni kwa majukumu ya ujenzi wa Taifa letu. Tuna nyumba ambayo iko maeneo ya Ununio na inahitaji mpangaji, nyumba ina jumla ya vyumba vinne...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
naitaji sola yenye uwezo wa kuwasha tv na taa,kama unayo ni pm na bei yako
0 Reactions
1 Replies
833 Views
Nauza solar power Ukubwa: watt 60,battery N 100,Controller na waya wenye urefu wa mita 10 Sababu ya kuuza:tumeunganishiwa umeme wa tanesco thus why nimeama kuiuza. Bei: laki sita Nipo chamazi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
pc name: Lenovo G500 processor Speed: Intel(R) Pentium(R) B960 @2.20GHz 2.20GHz dual coreRAM: 2GB HardDisk:500GB Webcam:YES Memory Card Reader:YES Operating Systems: Win7&8(32 and 64 bit)...
0 Reactions
2 Replies
600 Views
Wanajamvi mimi ni mfanyakazi wa hospital ya serikali 'Dr '. Ninaenda shule hivyo kiuchumi sitaweza kumudu gharama. Nina crester gx 100 namba B. Ipo katika hali nzuri sana ina mirage laki moja...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu, nawaletea hii makala iliyoandikwa na mwanachama wa CCM Tawi la Uingereza. Hizi ni salamu zake kabla ya mkutano mkuu ujao. Matawi ya Nje: Hazina ya CCM Uanachama wa CCM katika...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Habari zenu, na shida na spacio..!! Kama mtu anayo naomb anichek kwny namb hyo..!!
0 Reactions
0 Replies
780 Views
Habari wanjanvi wenzang,kwanz polen kwa mafuliko yaliyo tukumba ktk mikoa tofauti tofauti, nina iphone 4 imetumika week 3 tu nauza kwa bei ya 320000 bei haipungui,,sababu ya kuiuza nikua niliagiza...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
natafuta desktop computer flat iwe katika hali.nzuri ram iwe at least 2gb hard disc 80 na kuendelea bajet yangu ni 200,000 mwenye nayo ani pm
0 Reactions
1 Replies
633 Views
tuna design majengo kwa viwango vyote. yaani kulingana na uhitaji wa mteja, pia tunatoa ushauri utakao kusaidia wakati wa kujenga tunapatikana kwa email address garchedwin@gmail.com ama tupo...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Serious buyer ani pm only for 150000 touch screen with button option,check the phone for more view
0 Reactions
0 Replies
443 Views
Descriptionlaptop name: lenovo G500 processor Speed: Intel(R) Pentium(R) B960 @2.20GHz 2.20GHz dual core RAM: 2GB HardDisk:500GB Webcam:YES Memory Card Reader:YES Operating Systems: Win7&8(32 and...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
natafuta cmu tajwa hapo juu ikiwa brand new! PM me ur offer
0 Reactions
6 Replies
2K Views
wakuu mwenye tecno m3..bajet yngu ni sh 110,000...namb zngu ni 0767879784
0 Reactions
6 Replies
1K Views
nauza htc one x brand new Simu imetulia,rangi nyeusi price 450000 tsh only..pm for serius buyers.unaletewa mpaka ulipo Dar.
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Shamba la miti ya mbao ekari 9.5 linauzwa mafinga ,Iringa miti hio imebakiwa na miaka miwili tu liwe tayari kwa kuvuna kwa kawaida eka moja hua linauzwa mill 14 lkn hili utafanyiwa 7mill kwa eka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba la ekari 9.5 lenye miti iliobakiza miaka miwili tayar kwa ajili ya kuvuna Bei ambayo watu huuza ni mill 14 kwa heka lkn hili shamba linauzwa kwa mill 7 per heka wahi sasa kabla...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom