habari wakuu...nauza ream za double A A4,80 gsm....nauza shs 35,000......ninazo za kutosha hata ukitaka carton 1600 utapata.....carton inakaa ream 5..... kwa anayehitaji anipm order yake..nipo...
Sabalkheri Mabibi na Mabwana wa Jamiiforums.
Nimekuwa msomaji wa tovuti hii kwa kiasi cha muda na sasa nimeonelea vyema kujiunga nanyi.
Natafuta mganga mzuri wa jadi awezae kazi na sio mwenye...
Yoyote mwenye kuhitaji Nyumba ipo mbezi inn. Ina security, fence, maji, 2rooms, toitel, sitengroom, kitchen,
Bei yake ni rahisi sanaaa kutokana na huduma husika. 150,000 kwa mwezi. Call 0779420000
Habari zenu wadau, naomba kupata msaada wenu. Nahitaji gari ndogo ya kutembelea, Budget yangu ni milioni 3.5. Iwe in good condition haijalishi registration namba gani! Kama unalo tafadhali...
Wadau kuna mtu anatafuta chumba maeneo ya makumbusho,victoria,kinondoni au mikocheni. Immediately(muda wowote kuanzia sasa),bajeti ni 80,000 hadi 120,000. Kiwe na choo ndani(self)
Make: Toyota
Model: land cruser hard top
Year: 2003
Maelezo ya ziada: Ilikuwa inafanya kazi benki ya crdb so baada ya kuinunua imepata no mpya za usajili ambayo ni crb
Bei ni milion 47 maelewano yapo
habari wana jukwaa, nina kagari nakauza Suzuki Omni rangi nyeupe ya 2010 ina km 52,000 engine iko safi na haichemshi. Bei 7m kama unahitaji nipm. Picha nitaweka bado cjajua jinsi ya kuziapload.
Kiwanja chenye ukubwa wa sft4600 kinauzwa Tabata segerea. kiwanja kina hati na kipo karibu na barabara .Asking price millioni 130.
Contact me: 0752953860
Simu tajwa hapo juu ambayo ni orijino {nyeusi}, inauzwa kwa shs 300,000/=. Imetumika kwa miezi 5. Haina scratch na haina dosari. Inatumia laini zote. Nicheki 0714-408238/0685-734802.
nauza inch 23 LED series.4 bado ina warranty ya mwaka.1 na nusu..pia nakupa na wall mont zke mpya kabsa ata bado sijazfungua..nauza kwa 320 vyote kwa pa.1..
heshima yenu wakuu nimefanikiwa kupata vijinoti nikaona bora na mie nitafute banda la kujificha pamoja na wanaonizunguka,, hela yenyewe ya kuunga unga aise nilinunua bati za msauzi nikampa fundi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.