Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
LG smartphone used but in mint condition, soory guys natumia simu so ntaweka details za muhimu kama nlivozipata kutoka kwa mhusika. model ni LG-SU760 upgraded to OS android 4.0.4 internal memory...
0 Reactions
0 Replies
928 Views
Wadau wa magari kama nilivyoandika katika kichwa cha habari. Bajeti yangu ni mil 7 tu ila napenda kupata very good conditioned used alteza haijalishi iwe model ya lexus is au gitta ingawaje...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Wandugu, Haijatembea bara bara za TZ Nimeweka attachment katika format ya word kwasababu nimeshindwa kuiweka katika mfumo mwingine. Specs: Year 2003 OD: 100,350kms CC: 1,500 Bei 10,000,000/=...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
bei 160000 ipo katika hali nzuri ni I.O.S 6.5.1 kwa
0 Reactions
2 Replies
791 Views
Hawa jamaa wanjiita Creative city homes au KOPA NYUMBA hivi sio mataperi hawa???? Embu kwa wale ambao wameshawasikia tufahamisheni kidogo. http://kopanyumba.co.tz Kopa NYUMBA® – Sep13 | CCH
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Audio cd za hotuba ya ufunguzi wa bunge la katiba la tarehe 21/3 , ipo tayari kwa anayehitaji kwa jumla ani pm , anipe idadi anayohitaji. Kuna watu wengi ambao hawakuisikia na wengine wanaohitaji...
0 Reactions
1 Replies
847 Views
Wadau nauza xperia z nyeusi mpya kwenye box lake.simu niwater resistance.fixed price 650000 only.pm for buznez.picha haztaki kuapload.
0 Reactions
1 Replies
717 Views
Tunauza gari kwa Mikopo kama unahitaji ni PM please
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Wadau nahitaji vitz iliyokua ktk hali nzuri kwa bajeti ya 3.5mil km unayo nipm au nichek humu 0755922424.
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Miezi mi4 tangu inunuliwe. Haina tatizo lolote. Iko dsm. Pm tufanye biashara. Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
6 Replies
1K Views
SPECIFICATIONS HIGHLIGHTS - 7 Inch LCD Screen - 32GB Storage - 1.5GHz Dual Core Processor - 1GB RAM - 1080p Video Playback Support - 3MP Front Facing Cam - 5MP Rear Cam - 4800mAh Battery - HDMI...
0 Reactions
1 Replies
845 Views
Habari zenu wakuu… Spacio car inauzwa kwa bei tajwa hapo juu…gari ipo katka hali nzuri kabisa…pia unaruhusiwa kuja kuiona physically PIGA 0757 585 102 Au ni pm
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samsung s4 copy one bei yake.:: 350,000 samsung camera.. (hii sio camera, ni.simu pia.) bei yake..:: 230,000 watch (engine) bei yake.: 130,000 (unaweza kutumia kupokelea simu, ina...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
Ipo Saw-Mill,Sombetini. Barabara,umeme na maji vipo. Imejengwa kwa miti na kiwanja kikubwa.Call 0715313676
0 Reactions
3 Replies
1K Views
kwa mtu yeyote mwenye shida na daktari wa mifugo nipo napatikana mda wote kwa wakazi wa dar es salaam na vitongoji vyake mawasiliano 0653732909
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba kwa yeyote anaejua duka linalo uza galaxy SII kwa hapa Arusha au Moshi kwa bei poa anijulishe tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama maelezo yanavyojieleza hapo juu,Kiukweli huwezi kupata gari ya aina hii kwa bei hii,Gari ipo katika hali nzuri kabisa,namba yake ni BAY,leathered seats,intelligent key system,ila kuna...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Samsung s4 copy one bei yake.:: 350,000 samsung camera.. (hii sio camera, ni.simu pia.) bei yake..:: 230,000 watch (engine) bei yake.: 130,000 (unaweza kutumia kupokelea simu, ina...
0 Reactions
0 Replies
996 Views
Nina national housing mtaa wa Samora, natafuta mtu wa kumwachia sehemu yangu na mkataba wangu ntafanya hadi transfer. Ukubwa wa eneo ni sq 15. Panafaa kwa ofisi.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
IPAD 3 FOR SALE IN DAR Specifications: Version: Ipad 3 Memory: 16GB Internal Network: 3G + Wi-fi Price: Tsh 550,000/= (Not negotiable) Condition: Very Good, used for just one month Contact...
0 Reactions
0 Replies
499 Views
Back
Top Bottom