Tunauza viwanja vilivyopimwa maeneo ya Mvuti,umbali wa mtupo wa jiwe(mita 60) toka lami.
ni SqM 700,800,900(milioni 5) / SqM 400 (milioni 3.5).
pameshajengeka na pazuri sana kwa makazi,kituo cha...
Wadau nataka kuanzisha duka la stationeries mikoa ya pembezoni ambapo nimeona kuna opportunity za biashara hiyo, ila changamoto ni wapi naweza kupata supplier wa vifaa vinavyohitajika hasa Dar es...
Tunauza viwanja vilivyopimwa maeneo ya Mvuti,ni umbali wa mtupo wa jiwe (Mita 60) toka lami.
ni mahali palipojengeka tayari,mazingira ni tulivu sana,jirani na kituo cha basi.
ukubwa ni SqM...
Wadau,
Kama ambavyo tangazo limejieleza. Nahitaji Laptop kwa hiyo bei lakini iwe angalau na features zifuatazo:
Ram - at least 1 GB
HDD - at least 150 GB
Web cam - available
DVD Rom...
Habari za asubuhi ndugu zangu ofisi inapangishwa na ipo karibia na maeneo ya ubungo
Ina ubora ufuatao
1. Ina AC
2. Desktop Computer i
3. Meza kubwa,viti 3 makabati ya kuwekea vitu, kabati ndogo ya...
Niko Dar nimepata mchongo mpya nashindwa kuendeleza hii biashara.
Waweza kununua vitu vyote vya stationery kwa bei nafuu kabisa au ukanunua vile ambavyo unapenda tu.
Ipo pia Photocopy (canon -...
Kampuni yetu inahusika na kuagiza na kuuza vitu vya electronics, computers, laptops, projectors etc. Kutokana ni ngumu kuagiza simu chaguo la kila mteja anayoitaka, tunachukua fursa hii kuwapa...
Eneo lenye ukubwa wa heka moja linauzwa KISERIAN-MOSHONO bei 45m. Ni eneo zuri sana.
Hapo kwenye picha ni hilo hapo lililolimwa lenye udongo mwekundu. Yeyote atakay
eitaji tuwasiliane pm.
Habari ndugu zangu,
Leo nna mali mpya ya Power Bank ambazo zina capacity ya 15000mAh kwa Tshs 85,000/= na 12000mAh kwa Tshs 70,000/=
Power bank zinatumika kama backup power na utaitumia kucharge...
Habar wana jf sasa ninatoa huduma ya furmigation kwa bei ya shilingi elfu65,furmigation yenye uwezo wa kudumu zaidi ya miezi sita ndani ya nyumba,kwa kuua na kufukuza wadudu wote wanaoruka na...
Nauza scannia 113 na volvo kwa bei nzuri kabisa,kwa maelezo zaidi pinga number hii 0787108200.Zipo tanga pia zipo kwenye ubora mzuri kabisa,zipo natrela zake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.