Mtungi ni wa Kg 6 na bei ni tsh 90,000 complete na KITANDA cha futi 5 kwa 6 ni Tshs 180,000 kwa anaeitaji anaweza kuni Pm kwa maelezo zaidi.
PIA tuna king'amuzi cha startimes
bei ni Tshs 60,000...
Nguo mpya zimefika kutoka Uingereza. Utapata punguzo la Shs. 10,000. Punguzo hilo lipo kuanzia leo mpaka Jumapili. Kwa wanaotaka kuziona piga au wasiliana nasi Whatsapp Signature 0768 120 060...
Weka picha,bei,sehemu ulipo, mimi nipo Mbeya.
Iwe brand inayoeleweka,sema kabisa ina tatizo gani,nataka nimpe shemeji/wifi yenu atupiage picha instargram nimechoka kuwaona kina wema na shilole,
Wadau heshima kwenu,
Kichwa cha habari chajieleza, Gari ambazo nnazipa kipaumbele ni Passo, Vitz, Swift 1.3, Nissan Note na Honda fit,
Km zinatakiwa kuwa chini 100,000
bei yangu haitozidi mil 6...
Wanajf natafuta vitz au funcargo namba C au B ya mwishoni iliyonyooka .iliyokwenye hali nzuri (excellent condition). bajet 5mil ++ inawezakuongezeka kutoka hali gari.mazungumzo yapo.contact...
Habari za Jioni Wakuu..!!
Tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu...Nilikuwa nahitaji simu nzuri,mm nitakupa tshilingi laki 200,000/= pamoja na simu aina ya BlackBerry Bold 9780 (White)...
wadau nina mahindi tani 30 zipo manyoni singida nina uwezo wa kusafirisha mahali popote Tanzania au hata nje ya Tanzania iwapo kama tutakubaliana bei.pia kama unajua mahali ambapo naweza uza kwa...
Wandugu wa JF, wiki iliyopita niliweka tangazo hili lakinibado sijapata mteja. Karibu tuwasiliane. Nauza gari yangu yenye specificationszilizopo katika link hii...
wadau pkpk tajwa hapo juu inauzwa 2.8 maelewano yapo ipo kaika hali nzuri sana ila vibali vyake vimeisha ina bidi ukinunua ulipie mana manahaijalipiwa ipo dar es salaam cm 0755984282 imetembea...
Wakuu naomba kupewa uzoefu kwa wenye gari za Toyota Brevis ninataka kuchukua hii gari hapa je Zina matatizo yoyote. Nainunua hapa dar je kuagiza kuna unafuu?
Asante kwa mawazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.