Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Km kichwa cha habari kinavyojieleza nauza htc kwa 250,000/ tu.nimeitumia kwa miezi sita hipo ktk hali nzuri kabisa.0714 411041 au pm tufanye biashara nipo DAR
0 Reactions
1 Replies
915 Views
wakuu joto limekuwa kali sana uku kwetu mbagala... kuna fen nasikia unaweka maji then inatoa mvuke kama air condition.... naweza kupata wapi hizo feni na bei yake ikoje?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wadau natafuta subwoofer ya mtumba kwa bei tajwa hapo juu iwe ina piga vizuri kwa ajili ya geto,nipo mwanza
0 Reactions
21 Replies
7K Views
mwenye nokia nzuri hasa X1 au X2-01 ama nyingine nzuri iwe inatumia memory card isiwe imechakaa na iwe nzima nna elfu 35 tu kama huna tafadhari mkuu usilete masihala hapa mi ni mwanajeshi shauri...
0 Reactions
3 Replies
958 Views
Fatilia link : I earned total 14189400$ from MY Home Based JOb - InternetDuty ! upate zaidi ya dola 300 karibu ndugu yangu
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Shamba LA hekari 2 na 1/4 linauzwa millioni 4 lipo MLANDIZI makao mapya ni pazuri
0 Reactions
0 Replies
896 Views
am asking for kiosk saloon which have being established with all facilities,, proposed area is At Arusha town..
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Makontena mawili ya futi 20 yanauzwa, yapo kinondoni, yalikuwa yakitumika kwa biashara za kuuzia simu na huduma za Mpesa, yana air condition. Bei ni Milion Tatu na nusu.
0 Reactions
0 Replies
981 Views
simu tajwa apo juu inahitajika..ni mnunuzi serious wakuu..iwe kwenye hali nzuri...niambie imetumika muda gani na unauza bei gani...kama ina tatizo lolote state it tafadhali...karibuni
0 Reactions
0 Replies
993 Views
shamba lenye ukubwa wa hekta 12 sawa na ekari 30 lipo eneo la chapwa barabara ya mpemba-tunduma (barabara kuu ya tanzania -zambia) limekuwa likilimwa mahindi, lina hati miliki linauzwa na mmiliki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wakuu, rav 4 tajwa apo juu inauzwa bei ni 16.7million. Serious buyers just PM me
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Laini ya Tigo pesa inauzwa! Tshs 850,000/= mwenye kuitaji anitafute kupitia 0765413120
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mtungi aina ya manjis wa kg15 unaunzwa unahali nzuri kama upo arusha utaupata kwa urahic wasiliana nami kwa wale wa arusha 0689446433
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu Habari, Kutokana na shida fulani inayonikabili,nimeamua kwa hiari yangu nikuze kiwanja changu kilichopo Goba Kinzudi umbali wa kilometa tatu na nusu kutoka masana Hospitali,kiwanja hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu (Nokia c7) bei 120k tsh, In normal condition, haina scratch wala tatizo lolote Charger + 2GB sd card included
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Wadau, Gari yangu (Toyota Coaster) imezingua Cylinder head, inachemsha mno na kila nikiijazia/nikiziba matundu inakatika tena. Ikitoka Mwenge - Posta lazima iwekwe maji, na ikitoka Posta - Mwenge...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Km nilivyosema nataka laptop isiwe mbovu iwe na cfa za zote za kileo msaada tafadhali nipo mtwara
0 Reactions
2 Replies
1K Views
kwa a nayeuza simu tajwa apo juu tuwaciliane nina laki moja kamili
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu...nauza cement aina ya twiga cement ya kupima,kuanzia robo kilo,nusu kilo,kilo 1 mpka hata kwa wateja wanaohitaji kilo 40....ipo pia Gypsum Powder ya kupima,karibuni sana. ##nipo...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nauza blackberry Z10 iko ktk hali nzuri sana imetumika kwa muda mchache, iko complete na charge, headphone na box, inauzwa au tunaweza badilishana na Line ya Uwakala ya TIGO PESA,Anayehitaji ani...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Back
Top Bottom