haya wakuu yule mwenye nokia lumia 520 window phone tubadilishane nimpe S4 clone made in korea ram 2 gb na internal memory 16 gb nampa na earphone, charger na box lake simu nimeitumia miezi 2 tu...
Nauza kiwanja,kimepimwa na kina hati miliki,
urefu ni 68kwa68 na upana ni 40kwa33. kiko maeneo
ya tabata kisukulu,ni pembeni ya tabata segerea.bei ni 27m.
kama ukihitaji tuwasiliane 0782261294
Kiwanja ni nusu heka, kuna frem tatu mbele za maduka, kuna msingi wa fremu tatu pembeni mbele, kuna banda nyuma lenye vyumba viwili limeishia kwenye linta, kuna kiwanja kinabaki kinaweza kujenga...
kiwanja kinauzwa dar kipo kinyerezi darajani urefu miguu 55 upana 35 mita gari inaingia hadi kiwanjani bei 15 million maelewano yapo
picha kuanzia kesho 27.2.2014 sa kumi whatsupp kwa namba hii...
habari zenu wana jamii, baada ya kupata usafiri mpya nimeamua kuuza pikipiki yangu aina ya honda cc90 nyekundu imetumika kiasi. Iko dar es salaam na bei yake ni laki saba na nusu. Kwa anayetaka...
kwa wale wanaohitaji samsung galaxy s4 clone zinapatikana kwa bei tajwa zipo kwenye box na ni mpya.
zipo rangi nyeupe na very dark blue kama nyeusi
brief specs
zinatumia mediatek...
wadau pkpk tajwa hapo juu inauzwa 2.8 maelewano yapo ipo kaika hali nzuri sana ila vibali vyake vimeisha ina bidi ukinunua kalipie ipo dar es salaam ilikua inatumika kwa matumizi binafsi yani...
Habari za asubuhi ndugu zangu ofisi inapangishwa na ipo karibia na maeneo ya ubungo
Ina ubora ufuatao
1. Ina AC
2. Desktop Computer i
3. Meza kubwa,viti 3 makabati ya kuwekea vitu, kabati ndogo ya...
wakuu ---- nyumba inauzwa milioni miambili ipo dar salaam, wilaya ya kinondon, kata ya kawe,mtaa wa ukwamani. ina vyumba sita, ina vyumba vya uwani vinne, ina fremu moja ya biashara, ipo katika...
Samsung tab 2 7.0 gt:p3100
price 430000. in good condition, alie interested anchek pm
au mwenye ipad2, au tablet yenye screen kubwa anaetaka ancheck tubadilishane.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.