Tunatoa mafunzo ya muziki kwa watoto wadogo kuanzia umri wa miaka 4. Masomo hayo ni kujifunza kupiga keyboard (piano), ngoma na kuimba.
Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kwa 0778350664.
Nauza salon ya kiume, ipo maeneo ya bigbrother manzese, ina vitu vifuatavyo, ac, viti 2, sterlizer machine, tv, startimes, makochi 2, mita ya luku, taa mbili za urembo nje. Kwa ufupi ni nzuri...
Wana JF,
Mimi ni mwanchama wa jamvi hili mwenye makazi nje ya Tanzania ila hivi sasa ninapanga kurudi nyumbani.
Ningependa kuelimishwa kuhusu kodi ambazo nitatakiwa kulipa endapo nitaingiza...
Ina nyumba mbili katika plot moja...Ukubwa wa eneo ni nusu Heka, ina umeme na maji pia..Eneo limepimwa tayari, Nyumba iko Nyegezi sweya Karibu na chuo kikuu cHa SAUT. Bei yake ni Mil.40 tu.. Kwa...
Kiwanja kinauzwa kipo nyegezi,wilaya ya Nyamaghana Mwanza kina ukubwa wa square mita 5150.kimepimwa.
Namba ya cmu ni 0757728861.
Email Deogratiusdk3@gmail.com
Tunatengeneza vitambulisho/business card za plastic kwa bei nafuu, tupigie sasa upate 20% discount.
Bongotech Communication LTD
website
fb page
Tupo : Magomeni Mapipa karibu na butiama...
Hello! Nahitaji kwa haraka HALF CUT ya kipande cha mbele cha hiace custom (super roof / dungu). Mwenye nacho ani-pm au tuwasiliane asap kwa 0713291455.
Wanajf natafuta Rav 4 kill time namba C au B ya mwishoni iliyonyooka .iliyokwenye hali nzuri (excellent condition). bajet 12mil ++ inawezakuongezeka kutoka hali gari.mazungumzo yapo.contact...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.