BAJAJI INAUZWA.
Bajaji ya aina ya piaggio ipo katika hali nzuri sana,
inauzwa ikiwa imetembea km chache tu,
bei ni nzuri na inazungumzika. Ipo Dar es Salaam,
kwa mawasiliano zaidi piga Na...
Habarini wajumbe,Samahani kwa usumbufu ila kuna mbongo ambae yuko katika jiji la Johannesburg ambae anajua sehem wanayouza viatu na Nguo kwa jumla na je kwa makadirio gharama ikoje na ni njia ipi...
Jamani nauza gari langu aina ya landcruiser vx v8 amazon limetembea mwaka mmoja lina km 92375 sh 11000000 nataka kubadilisha fashion, mwenye kuhitaji anipigie 06844247989 gari ipo mwanza...
Habari wakuu, tuhusike na kichwa juu hapo.
Wenye hizo simu wanajua tatizo nnaloongelea.
Mawasiliano: 0655003510 / 0753196849
Sent from my BlackBerry 9930 using JamiiForums
wadau nina used engine spares kwa wenye isuzu tani 10. modeli ya injini ni 6he1. sema unachohitaji nami nitakuletea pale ulipo. hii ni kwa dar es salaam, mbeya na iringa
Nyumba inauzwa maeneo ya tabata luwiti ina vyumba vitano na sebule, yafaa kwa biashara na kuishi kwa kua ipo barabarani, pia ina eneo dogo la kuongeza vyumba kama vitano kwa wanaohitaji...
Habari wakubwa,
Samahani ila nlikua naulizia mwenye kujua kuhusu Decorder ambayo inaweza kuweka kadi mbili ya abu dhabi na aljazeera na target yangu ni kulipia al jazeera kwa ajili ya kuonyeshea...
naunza mtungi wa gas wa manjis kg 15 bei chee(laki 1) umejaa gas na bufa kubwa{95 elfu) aina ya sansang yenye spika 2 na remot kwa mawasiliano ni pm kama upo arusha mjini
Uliwahi kuisikiliza video hii?
Kusikiliza video hii kunaweza kuwa kitu kikubwa ambachohutakisahau kwenye maisha yako milele
http://youtu.be/1IVB5YueolU
Nauza simu aina ya Tecno Phantom Pad N9. Used kwa miezi 3 sasa toka dukani Tarehe Dec/30/2013. Contacts: 0787 459 850 Tsh. 320,000/= Price negotiations acceptable!!
Sifa za Pad hii ni kama...
Tunatengeneza pochi nzuri kwa bei nafuu,ikiwa una kitchen party ungependa kumechi na pochi,basi unatupa kipande cha kitambaa kidogo ambacho umeshona gauni/sketi yako then tunakutengenezea...
Join DTBi & COSTECH for an informative seminar presented by Mr. Carl Davis Jr, President/Executive Director of Silicon Valley Black Chamber of Commerce.
He will address how to understand the...
Wana JF nina kagari kangu Nissan almera naiuza
km 100,000
cc 1600
Rg: T728 CHW
PRICE: 9,800,000/=
IN VERY GOOD CONDITION
CONTACT: 0764990975
eazy1982@yahoo.com
OR NI PM
Hio ndio bei ya kuanzia na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.