Mchuma unauzwa bei cheee.
Ipo ktk hali nzuri sana.
Ina sifa zifuatazo:
Air conditioned, SRS Airbag, LCD TV, Radio and Dvd Player, Roof top.
Condition: In very good condition (regularly...
Kiwanja kinauzwa ukubwa ni nusu eka kinafaa kwa biashara na makazi kipo mbezi mwisho mita 300 kutoka morogoro Rd karibu na stand mpya ya daradara upande wa kulia kama unaenda kibaha, karibu na...
Nyumba iko karibu na stendi mbande, bei ni mil 8, maji yapo karibu, umeme uko nyumba ya tatu toka yangu ni suala la kuvuta tu, ina vyumba vtatu na sebule.bei ni mil 8.
anayehitaji ani pm.
Habari zenu wakuu,
Nahitaji nyumba ya kupanga maeneo ya magomeni au upanga.Budget yangu ni sh 200,000/=.Naomba msaada kwa yeyote atakayeweza kuipata hiyo nyumba. Mbarikiwe.
Kama ulikuwa unatafuta sehemu nzuri ya masaji ( FULL MASSAGE ) na bado hujapata. Jaribu kuwaona DAR EXCELLENT PARLOUR wa Shekilango.
Wana wadada wawili mmoja anaitwa Asia...
Karibu ujipatie logo ( nembo) kwa bei nafuu kabisa na haraka, kuna nembo ambazo tayari zimesha dizainiwa za aina tofauti tofauti, unachotakiwa ni kuchagua na kuchukua kuifanya yako, bei zetu ni...
Ninatoa huduma ya kuuza ndizi za Moshi mshale aina zote na ndizi bukoba na matunda Kila aina.Ninapokea oda nakukuletea mpaka mlangoni,napia mkaa unapatikana magunia makubwa na madogo kwa bei...
1 : Itel
model : Inote mini
ipo kwenye hali nzuri..
Ina one week tangu
imenunuliwa..!!
Rangi : Nyeupe
bei : 100,000/= tsh
unapewa na charge yake
2 : Lg
model :e400
ipo vizuri haina...
House for sale kigamboni near mikadi beach just 5 min from ferry, has 11 rooms, electricity and space for car parking . Price: Tshs 95,000,000/= negotiable for more info.. Please contact...
Gari inakodishwa kwa safari mbalimbali ndani ya mkoa wa Dar es salaam na nje ya mkoa wa Dar es salaam. Tupo mbezi Beach-makonde kona ya kuelekea mbezi Garden Hotel.Bei zetu ni nafuu sana...
Nyumba ya vyumba vitatu (including Master Bedroom) Moshi manispaa eneo la Soweto karibu na hospital ya St. Joseph...Nyumba ina servant quarter imezungushiwa fence na ina geti. inbox au tuma...
WANAJF,
Naombeni msaada wa namna ya kupata mafuta ya SAMLI na ASALI MBICHI kwa hapa Dar es Salaam. Hakika nahitaji sana vitu hivyo lkn sijui nitayapata wapi kwa hapa Dar es Salaam. Kama kuna mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.