habarini za majukumu wanajamvi
jamani nahitaji ushirikiano wenu pamoja na ushauri wenu kama kuna mtu anafahamu eneo ambalo linafaa kufungulia stationary kwa maeneo ya dar please naombeni...
Waungwana nauza Noah yangu imetembe Km 147500 ipo katika hali nzuri na hapa Tz ina mwaka miezi nane
Bei kuanzia Milioni Tisa na maelewano yanaruhusiwa.Inapatikana Arusha haijafanya biashara...
kiwanja chenye hati kilichoidhinishwa kwaajili ya ujenzi wa ghorofa eneo la iwambi (new satelite town) block f" katika jiji la mbeya kinauzwa tshs 12 milion, mwenye kuhitaji tuwasiliane ​
Scania M113 single cabin na tela lake linauzwa kwa bei nzuri
gari hii ya kazi ipo tayari kwa safari kwenda kokote
bei 27m
for more details call on 0762 854563
0732859230
Tanga Tradition Clinic ni clinic ilipo kimara imekuwa ikionesha maajabu yake kwa kutibu magonjwa sugu hasa yale yaliyoshindikana hospitali kwa kutumia tiba asilia,wengi wamepona na kutorudiwa na...
Make: Suzuki
Model: Swift
Model Number: GH HT51S
Body Type: Station Wagon
Colour: Pearl
Class: Light Passenger vehicle (Less than 12 persons)
Year of Manufacture: 2000
Chasis No...
Wakuu,
Natafuta mfanyakazi wa ndani ila awe ni wa kike na amemaliza elimu ya sekondari.
Mshahara ni shillingi za kitanzania laki moja Net.
Atakua anakaa kwangu. Kazi yake kuu ni kusaidia...
Habari wakuu,
Nilikuwa naomba wapi naweza kupata Computers za kuongeza ujuzi kwa mtoto,sio hizi zetu za watu wazima.Ni kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza(6 yrs)
Naziona kwenye TV tu ila sifahamu...
Nyumba inapangishwa eneo la kiloleli mwanza ina vyiumba vitano viwili ni self. Ina jiko moja cpublic toilet,uzio, sitng rom moja..karibun watu wa mwanza pm kama utaihitaji.Thanx
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.