laini ya tigo pesa inauzwa shilingi laki 7 (700,000/=) na airtel money sh laki moja na nusu. kwa mawasiliano zaidi piga au ni sms kwa namber 0718 166060.
2003 Hilux Double Cabin,2.8cc Engine, Manual Gearbox, Air Condition, Ipo Kwenye Condition nzuri, Bei 18million,Gari ipo maeneo ya Ilala, Kwa mawasiliano zaidi Call 0712 220408 or UKtoTZ@gmail.com
salamu wanajamii forum;
nauza kuku wa kisasa wenye wiki tano kwa shilingi 4900/=....punguzo itategemea na mzigo utakaochukua, tuwasiliane kwa namba 0787703107
Wakuu nahitaji camera itakayonisaidia katika mambo ya utafiti wa wadudu. Hivyo naomba msaada wa camera ya kununua kwa vigezo vifuatavyo
1. Uwezo wa kuona vitu vidogo sana
2. Uwezo wa kuona vitu...
Nauza Kuku wa Kienyeji bei sh 5000-15000 kulingana na ukubwa na uzito wa kuku. Ukinunua kuanzia Sh 50000 nakuletea mpaka ulipo. kwanza mawasiliano 0714881500
NIPO DAR ES SALAAM
Habari za leo jamani nauza Kindle ipo katika hali nzuri kabisa anayependa anaweza kunipigia 0752 559802.
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Kiwanja kinauzwa chenye ukubwa wa mita 50 upana na urefu mita 60 unapanda gari zambagara langi tatu unashuka zakiemu kisha unapanda gari zakwenda mikunai dar es salaam nichapili ni kutoka barabara...
Simu tajwa hapo juu,ina scratches kidogo sababu ya kutumia bila skin pochi...naiuza elfu 80,haina tatizo lolote nimeitumia kwa miez 8!niko Dar,sababu ya kuuza,nimepata smartfone ingne!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.