Habarini
ninahitaji nyumaba ya kupanga vyumba viwili na sebule selfcontainer,
maeneo ya magomeni bajet yangu Ni 170000 Kama unafahamu nijulishe now by pm Pia ilala
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
Wakuu naomba kujuzwa kwa wale wazoefu, hii gari RAUMU new model ikoje? Kwa maana ya ubora wake, ukilinganisha na RAUM old model na nyinginezo. Asanteni na karibuni kwa maoni na michango.
Habari wana jamvi!
Leo nawaletea HANDY digital video camera(model za vivitar)
>Ina uwezo wakupiga picha(5mpixel quality)
>Ina record HD video
>2Gb memorycard
>USB cable
> INSTALLATION CD
Contact...
​Excellent coondition,
Tyota OPA ya mwaka 2003,
Engine 1ZZ-1800cc,
Mileage 85,000km,
15inch sports rim.
CGJ number plate
Imetumika miezi 6 Dar
Radio, Full power window
color Pearl
Bei...
Haya haya kwa wapenzi wa Music, pata mali kwa bei inayoendana na quality: mzigo wireless, bluetooth ndani ni kwa tsh 200,000 tu. Used headfones, nimezinunua in two weeks, ila ninabadilisha ndio...
Wakuu heshima zenu. Mimi nahitaji gari kwa haraka. Liwe na 4 wheel drive,preferably SUV body,liwe limetembea chini ya kilometa 100000 na ndani pawe na mvuto sana. Sipendelei rangi zifuatazo...
Wadau kenta inauzwa ipo daresalaam ni ya tani 2 na nusu. Engine yake ni 33 na inabinua vizuri. Bei yake ni shilingi milioni 18.(18,000,000/=) kwa maelezo zaidi wasiliana na namba hii 0754 834839
Kiwanja kinauzwa kipo BUYUNI eneo linaloitwa SHERATON barabara iendayo CHANIKA karibu kabisa na OIL COM pia
na MONTESSORI. Kiwanja kina UREFU 32 na UPANA 17 miguu ya mtu mzima. Bei ni 4.5M...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.