Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Jamani nimepitia humu JF watu wanalaumu yard za bongo. mara wanabadilisha engine, mara wanatoa dubai machakavu,mara wanabadisha vifaa.Hivi hakuna yard inayoagiza kutoka japani ambayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini humu ndani. Jamani nahitaji Nyumba ya kupanga iwe chumba na sebule. Maeneo ya ilala, malapa. Pia Ubungo hasa riverside na Pia Ubungo Maziwa na mabibo mwisho. Umeme na maji Pia muhimu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
nina simu yangu ya blackberry Z10 sasa hivi sipati application ya whatssApp, inaniambia ni update software yake kwa kutumia wi-fi nimejaribu kufanya hivyo imegoma, msaada kama yupo mwenye idea yeyote
0 Reactions
1 Replies
741 Views
Natafuta mteja wa kununua decorder ya zuku bila dishi lake inatoka na waya wake pamoja na remote, narudia no dish.bei 50000,npo arusha.mwenye hitaji anitafute direct 0756597108.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
acer mini lap top inauzwa bei 370000 with 250 gb hard disk and 1.0 gb ram
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni mpya na nyeupe Bei sh 350,000/= Simu:0713656256
0 Reactions
1 Replies
904 Views
Model number GT 193000 Ina wiki mpya full navitu vyake kwenyebox Ninyeusi haina sklachi yoyote Internet speed yakutosha wi-fi 3G 16 gb Kamela kama kawa mbele na nyuma Ni ya nchi ya korea...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kina ukubwa wa mita za mraba 550. Kina hati milki. Bei shs 20mil. Maelewano yapo. Kwa maelezo zaidi piga simu hii 0755312233 au info@kitomai.com
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Nahitaji samsung galaxy s2 kwa sh250,000 kwa mwenye nayo anipm
0 Reactions
3 Replies
866 Views
habari wakuu, kitu hii inaendelea na kazi vizuri sana, mmiliki wake anaama dar kikazi so usimamiz ataweza akiwambali, ipo sehem changamfu sana bei kwa jumla milion 2.5 plus kodi ya miezi 8 mbele...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
lisiwe la uwizi liwe na uwezo wa kuwasha tv mbili kubwa za nch 28 , projector mbili, ving'amuzi vinne. pesa cash iliyopo mkononi ni sh laki moja tu, pesa inaweza kuwa adjusted. tukitest wote...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Amani kwenu wadau... Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku. naomba msaada kwa yeyote anayefaham sehemu ninayoweza kupata vifaa vya studio ya picha (kama photo...
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Habarini naitaji kiwanja au shamba lenye ekari 1 kwa tsh. 500,000/= maeneo ya ukuni bagamoyo au popote bagamoyo pls kwa aliyenacho anijulishe kwani ni muhimu sana. aniPM Itakuwa vyema pls
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nahitaji music system inayoeleweka, iwe used au mpya ilimradi iwe katika hali ya kueeleweka,..... Yoyote alionayo please, naomba ani habarishe specs zake pamoja na dau lake. asante
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tuna design ramani za nyumba za aina mbalimbali,tunapatikana survey karibu na mlimani city Dar-es-salaam,hapo chini ni sample ya kazi ambazo tumefanya. kwa mawasiliano 0713450840...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wadau wa jamii forum yeyote mwenye details za hii kitu naomba anikokotolee.Nitashukuru sana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau kwa yoyote mwenye kuza pkpk ndogo sanlg (yani marufu kama kibao chambuzi) namba iwe c bei elekezi laki 7 naitaji nitashukuru hikiwa imetumika miezi 5,6 au 7 natanguliza shuklani wadau 0712690760
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kuna yeyote anayeuza au anafaham anayeuza kitanda main campus ani pm
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nahitaji line ya tigo pesa na mpesa
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa wale wenye campuni au wanabiashara na wanahitaji kutengenezewa website zao, tupo kwa ajili yako,,, tunatengeneza website kwa bei nafuuu,, na wale wanahitaji kujifuza lugha mbalimbali Kama...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Back
Top Bottom