Lets make life easier guys, najua wengi wetu tumewahi kukutana na changamoto katika utafutaji wa nyumba za kuishi, kununua, ofisi za kupanga, hostel, nyumba za kufikia ugenini, na hata kutafuta...
Waheshimiwa habari zenu, Kuna samsung netbook original hapa inauzwa bei poa MODEL ni NP-N102S, ina processor ya 1.64GHZ, RAM 1GB, WIFI, WEBCAM, CARD READER, BLUETOOTH, WINDOW 7 PROFESSIONAL...kuna...
Nataka kujua bei ya Rav 4 ya mwaka 1998 au 1999 na labda tofauti yake nini naomba wazoefu wa magari wanielezee please I'm interested to buy that particular type of a car...!!!
Regards,
Jonathan.
Naombeni mawazo na ushauri wenu Wana JF:-
Natarajia kuwa na harusi mapema wiki ya kwanza ya Desemba 2013. Plan yangu ni kuwa na shughuli ya watu kati ya 100 na 120 na nina bajeti ya 5M. Nimejaribu...
wakuu pole na majukumu,
nipo katika mchakato wa kuanzisha photo studio Dar es salaam (itakuwa ni medium). Studio hii itajishughulisha na upigaji picha portraits kusafisha na kuuza photographic...
Wana Bodi baada ya kuzunguka zunguka nimepata wazo la kufyatua tofari na kuunza,baada ya kuona Tasnia ya ujenzi inakua kwa Kasi,nilikua naomba kujua je ni wapi nitapata Mashine za kufyatua...
Aina ya Simu: Nokia Lumia 620,
Hali yake: Mpya na vifaa vyote,
Uwezo: 8GB internal memory,
Camera:5 MP, autofocus, dual-LED flash & camera ya mbele,
OS: Microsoft Windows...
Sasa HUHITAJI KUSOMEA WEB DESIGNING ili uweze kutengeneza website yako mwenyewe.....Pata software itakayokusaidia kutengeneza WEBSITE yako kwa kutumia samples na template mbalimbali.NO HTML CODING...
Naomba ushauri wenu ni kampuni gani ya friji ambazo ziko imara zaidi na size ndogo yenye thamani ya sh.200,000 ili nikainunue ...kwa hapa dar tafadhari, natanguliza shukrani zangu.
Hi wana JF. Naitaji laptop ila ikiwa mini laptop itakua vizuri ila pia kama unayo aina nyingine pia waweza nicheki ila isiwe dell. 0716369299 asanteni
Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
Wadau respect mbele....! Naomba kwa alie na taarifa za upatikanaji wa kiwanja cha kujenga morogoro hasa maeneo ya kihonda, nane nane, mikese, na bigwa....najua nikianza kuzunguka mwenyewe nitapata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.