Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wakuu. Nilikuwa nahitaji CDMA Modem ambazo mwanzo zilitolewa na Zantel ila hazipo tena in stock. Number zake huanzia +255 24 55..... Tuwasiliane kwa mwenye nayo. Kama hizi hapa chini
1 Reactions
2 Replies
930 Views
Compaq,processor dual core ql 2ghz,ram 2gb,hdd 230gb price 390,000 call 0759149202
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kina ukubwa wa mita 42*26 , kipo kivule/bomba mbili/kitunda. Piga no.o754439460. Bei.mil.5. Maongezi yapo
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naulizia kwa mtu ambaye anauza kiwanja maeneo ya kitunda au sehemu jirani kama kivule,nyantira nk aniambie tufanye biashara. Kiwanja kiwe karibu na barabara na huduma zote za kijamii kama vile...
0 Reactions
0 Replies
900 Views
Natafuta mwekezaji kwenye shughuli za shamba. Ukubwa heka 500 kuna bwawa pumps tractors godown nyumba za wafanyakazi ofice etc cont:0685925153
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa ipo tegeta madale-mivumoni,imepauliwa na madirisha pamoja na mageti kwenye milangon,ni selfcontena ila haina masterbedroom mwenyewe anuza anataka akatibiwe india, bei mil...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Nimeamua kuuza ZUKU Satelite TV Complete kit yangu niliyoitumia kwa miezi sita tu Sababu: Nimepata uhamisho kikazi na sitokuwepo tena nchini,kwa hiyo nimeamua kuipiga mnada! ZUKU Satelite...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Duka gani jamani wanauza Tecno Phantom A2-F8 ??
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Kina ukubwa wa mita za mraba 1700. Kipo katika eneo zuri kwa ajili ya makaazi. Bei Tshs 45mil. Kwa maelezo zaidi piga simu namba 0755312233.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nahitaji till ya tigopesa iwe ya dar,nipo dar iwe na nyaraka zote ili tukabadilishe majina mwenye nayo anipe pm namba yake tufanye biashara.
0 Reactions
3 Replies
907 Views
Pikipiki tajwa hapo juu inahitajika kama unayo weka bei yako tuzungumze
0 Reactions
3 Replies
923 Views
Za saa hizi wana jf,Kwa jina naitwa Nicholas kama inavyoonekana kwenye profile name yangu,mimi ni mfanyabiashara na mwanafunzi wa ifm mwaka wa mwisho katika fani ya sayansi ya computer. Kibiashara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nauza nokia lumia 520 bei 220k iko kwenye hali nzuri sana Niko dsm 0766430471
0 Reactions
11 Replies
3K Views
imefutwaxxx
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo barabara ya kutoka Visiga kwenda Bagamoyo!na pia ni kilometa 3 toka morogoro road!kipo visiga madafu kina ukubwa wa ekari 1!!bei sawa na bure!!!serious buyer only!!!ni pm...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
galaxy pocket s gt 5300 imetumika miezi 3 tu.ni android siwezi aplod picha.mwenye kuhitaji tuwasiliane bei 150,000.namba 0659626782 nipo dar
0 Reactions
2 Replies
944 Views
ndug wana jf mwenye hyo bidhaa tuwasiliane, nahtaj.
0 Reactions
0 Replies
643 Views
Habari ndugu zangu, mimi ni mfanyakazi wa taasisi, nimepangwa kuenda kufanya kazi mtwara. nimepata kapesa kidogo nataka nikifika nikae miezi 6 nitafute eneo zuri nijenge na ntajishughulisha na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I have a client who is looking to purchase a plot in Upanga sector of minimum 2500SQM, his main requirement is that the land should be a square type and not rectangle, He may consider rectangular...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwema wakuu, kwa mara nyingine tena naleta kwenu PS2, bei ni 170,000, ina pad 1, ni dvd rome, dvd, cd na inatumia kadi pia, kwa wanaohitaji piga 0655361266, nipo Mwenge DSM
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom