natafuta flat monitors used tatu bei isizidi laki moja per each. mwenye nazo anicheki pm au anitafute via 0717354243, unaweza piga, text au send whatsapp messeges.
Kiwanja kinauzwa bei naafuu kabisa.
Kipo Mafinga mjini -Pipeline -Majengo mapya.
Kina ukubwa wa nusu hekari 31 * 62 meters = 1922 sq meters.
Kimepimwa na kina hati miliki.
Pia kina...
Pikipiki tajwa hapo juu ambayo imetumika miezi 3 tu tokea inunuliwe dukani na hajawai kupata ajali inauzwa.
Bei ni. 1,750,000
Ipo Dar es salaam.
Mawasiliano kwa atakayehitaji:
0717577755 /...
Graphs kama Histogram, Pie Chart n.k michoro iko kumi na mbili na unaruhusiwa kutumia program yeyote ambayo utakuwa unataka kuitumia
kama zile za kwe ye B plans
Bofya hapa uone aina hizo za...
samahani wadau,naomba nijuzwe bei ya sim tajwa hapo juu kwa mlio dar,nahitaki kunua ila huku mikoan ni kama wanatuuzia bei juu sana! natnguliza shukran
Natafuta hostel maeneo ya ilala, chang'ombe, kariakoo, au sehemu nyingine ambayo naweza pata usafiri wa kufika posta moja kwa moja. Masharti:::: kuwe na maji, ulinzi. Nitajieni ofa
Habari wanajamii,
Natafuta kiwanja kwa ajili ya Makazi eneo la Morogoro chenye thamani ya Millioni 2 mana ndo uwezo wangu Mungu alionijalia.
Wenu Mtiifu
habar zenu wana jf.... Me natafuta chumba cha kuish (kupanga) single room.Me nipo Misungw kwa sasa kama upo misungw una info zozote plz tuambiane coz misungw madalali hakuna
Habarini marafiki
Ni fursa pekee na wakati muafaka wa wewe kutaka kitu bora zaidi
hivyo usiisite na kutangatanga ama kuhangaika huko na kule kutafuta
ni wapi shughuli yangu naweza kuifanya, na ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.