Katika hali isiyokuwa ya kawaida jana nilipoteza simu yangu aina ya Sony Xperia L maeneo ya Ubungo hivyo basi naamini kuwa mtu yule ambaye atakuwa kaichukua , au kuiokota sasa hivi atakuwa aidha...
JE UNATAFUTA NYUMBA/VYUMBA VYA KUPANGA SOWETO-MOSHI???
KARIBU KUNA VYUMBA YA KUPANGA NZURI IPO SOWETO, MTAA WA HURUMA KARIBU KABISA NA ST JOSEPH HOSPITAL.
NYUMBA INA KILA KITU MAJI, GETI, NA...
Waungwana kwa anaeiitaji hii simu tuwasiliane,bado iko poa ila sema hai-support code USSD yaan mpesa,tigopesa, na vifurushi na hii ndivyo ilivyoundwa so kwa mwenye utayari no. yangu ni 0767954466...
Wakuu ninashida ya kuku wa kienyeji pure ambao wamebakiza kama mwezi au wiki tatu waanze kutaga...nahitaji mitetea kama 100.....natanguliza shukrani,,,,,
Wadau JF, Nina ndugu zangu wawili. wa kwanza ni mwanaume ana miaka thelathini,elimu kidato cha nne na amesomea mambo ya Hoteli na Utalii, specialize kwenye Barman and Waiter,ana uzoefu wa zaidi ya...
Jamani mimi ni kijana wa miaka 19 na ni mtunzi mzuri wa hadithi na najiiaminini kuwa nna kipaji hiko. nlianza kuandika hadithi tangu nikiwa mdogo na sasa nimeanza kuandika hadithi zangu serious...
Karibuni wadau wa utalii wa ndani katika kipindi hiki cha mwisho wa mwaka.Mwezi desemba tumendaa trip nyingine ya kupanda mlima Kilimanjaro kwa njia ya MARANGU kwa muda wa siku 6 kupanda na...
Nauza nyumba mjengo wa kupangisha ya zamani ya chini iko mjini kabisa pembeni ya hospitali kuu alrahma mjini zanzibar ina vyumba saba including na store nane pia ina vyumba viwili vya uwani ina...
Habari za Leo wakuu? Napenda nichukue fursa hii kuinadi bidhaa tajwa hapo juu. Ni pikipiki aina ya Boxer Bm 150. Inauzwa Tsh 1,400,000/=, Sababu za Kuuzwa ni Longo Longo zimezidi kutoka kwa Dereva...
Habarini ndugu
Jipatie kuku wa kisasa (Broille) wazuri ambao ni wa nyama,
ninauza kuanzia kuku 100 na kuendelea.
kwa bei ya jumla ni Tsh. 5500/= kwa kuku mmoja
na kwa bei ya rejareja ni Tsh...
Statistician needed to play a key role in secondary analysis of data and Prepare statistical tables and analysis for all secondary analysis performed by The team!! Call or Sms +255 763 790 448!
Habari gani wanajamii....mimi natafuta mtaalam wa kutengeneza artwork kwa ajili ya kudisign cover ya audio cd....yeyote mwenye utaaalam naomba anipe bei pamoja na mawasiliano yake.....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.