heshima kwenu wakuu. Nina kigari changu kipo hapa mjini hakina kazi. Naomba kazi toka kwenu . Kinauzo wa kubeba mzigo wa tani na nusu adi mbili itategemea na mzigo na unapokwenda karibuni
Pikipiki tajwa hapo juu inauzwa. Ipo katika hali nzuri sana, ni electric starter, ina oil cooler na ina uwezo wa kwenda mbali bila injini ku over heat. Bei haipungui 2.8mil
Natafuta mpangaji wa kupanga. Nyumba iko sabasaba karibu na mawenzi. Vyumba 2 vya kulala chumba kimoja ni master bedroom choo ndani. Sebule kubwa na korido ambayo ni jiko. Mawasiliano 0718600001
A large residential property with all the necessary amenities is available for letting at very reasonable terms. The property has sufficient rooms suitable for use as an Office, Supermarket, Shop...
Habari wakuu..
kutokana na shida za apa na pale nilikua naibana samsung s4 kwa 650 tuu,,,
>>tatizo battery life imeanza kuchoka ,,ina survive 6 hours perday..
0712 507060 if interested
wakuu nahitaji kununua hiyo gari...so nataka nijue bei zake kwenye yards ya dar..nahitaji yenyc 2000cc na isiwe imetumika bongo...ikiwa nyeupe na rim size kumi na tano itakuwa poa sana...kwa...
huawei ascend y200 inauzwa kwa 150000 GENERAL
2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network HSDPA 900 / 2100
SIM Micro-SIM
Announced 2012, May
Status Available. Released 2012, May
BODY...
Nauliza wandugu wapi naweza kubadilisha kioo cha Samsung 2 tablet ya inchi 7 kwani chake cha asilia kimevunjika baada ya kudondoka,kwa anyejua anijuze na bei zake,asenteh
Habari wakuu.
Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787.
Good day!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.