salamu sana wanajamvi ninahitaji play station 3 na 2 kwa bei nzur................................ msaada ni wap kwa kupata!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!1:disapointed: SHURANI WAKUU
Nasambaza unga wa sembe pamoja na dona kwenye taasisi mbalimbali kama mashuleni,vyuoni nk kwa chee kabisa. Bei kwa unga wa sembe 50kg ni Tsh 40,000/= na 25kg ni Tsh 20,000/= Pia kwa unga wa...
Ni Toyota Camry all duty paid (Road Licence &Insurance), CC 1830, Year 1995, Model SV40, First registered 2006. INATEMBEA. BEI 3.5M negotiable. Call 0755 850902 or 0787000133
Hi Mambo zenu vipi/
Nauza gari,Landcruiser Prado TX, imetembea km 182023KM,Four cylinders,2500cc,auto,petrol...bei Mil 18...kuna nafasi ya mazungumzo lakini...gari haina shida yoyote ac,radio kila...
Ndugu wana JF nina sim mbili tajwa hapo juu BB 9900 na galaxy s iii mini zote used na zipo katika hali nzuri. Nahitaji mtu wakubadilishananae hizo sim na iPhone 5 au biashara kwa zote mbili kwa...
Nauza simu ya samsung galaxy grand duos, ni nyeupe. Iko kwenye condition nzuri sana, haina michubuko kabisa. Inakuja na charger na cover. Ina android version 4.2.2, 8 megapixel camera, na 5 inch...
Habari, napenda kuwatangazia wale wanaohitaji kununua nyumba maeneo ya kiwalani karibu na shule ya msingi kiwalani, zimejengwa kwenye viwanja vya kupimwa vya serikali, unaweza kuinunua kwaajili ya...
Ni Piki2 Bomba Sana. Si Mchina Ni Mjapani Original Uko Ktk Hali Nzuri. Bei Iko Pouwa Kuna Punguzo La Asilimia 10. Hauitaji Tena Kupanda Gari La Watu Wengi Jivunie Usafiri Wako. Bei Ni 3,200,000/=...
Haya tena kwa wale wenye kutaka chupi toka ulaya zipo hapo mjini Dar Muwasiliane na huyu bibi anaitwa Kwa jina hili Sister betty namba zake za simu hizi hapa 0754075370 au hii hapa 0715075370 kila...
Nauza majogoo ya kuku wa kienyeji (chotara), kuku wamwechanjwa chanjo zote na wanafugwa kwa kufata utaratibu bora wa ufugaji. wana umri wa miezi mitano na Wiki tatu... Wameshanza kupanda.
Bei ni...
nauza gari ya rav4 l, imetengenezwa mwaka 2000, rangiyake ni nyeusi.
Iko katika hali nzuri na imekua ikiendeshwa na mwanamke
bei yake million 11.
sababu ya kuuza:
Ninanunua gari nyingine ...
A private telephone network used within an enterprise. Users of the PBX share a certain number of outside lines for making telephone calls external to the PBX.
Most medium-sized and larger...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.