Natafuta sofa set used kwa mtu anayeuza. Bei isizi lak 7 na ziwe katika hali nzuri. Kwa aliye tayari ani txt 0717354243 au whatsapp kwa hiyo hiyo namba
Habari wadau..!
Kuna soko zuri la uhakika la madini ya mecury nyekundu hasa inayotokana na mwamba,hata kama unayo ya kiwandani na imehifadhiwa vizuri au kama unajua mtu aliye nayo tuwasiliane...
Kiwanja kina hati milki na kina ukubwa wa mita za mraba 1543 au mita 30 x 51 kina uzio mathubuti iliojengwa kwa nondo na zege nguzo imara na tofari za inch 6. Kiwanja ni kizuri sana unaweza kuona...
Habari zenu wakuu hapa Jamvini,.
Kwa wale mafundi au wataalam wa ujenzi(fundi mwashi) naomba msaada wako, ninategemea kujenga nyumba yangu ndogo ya kawaida kabisa yenye vyumba vitatu na sebule...
Nyumba yenye vyumba viwili vya kulala kimoja kikiwa ni master, sebule + dining, jiko, na public toilet!
Nyumba ipo ndani ya gate na ipo maeneo ya boko califonia, karibu kabisa na barabara
Wadau nahitaji machine ya kuangulia vifaranga maeneo ya dar au kibaha. Naomba aliyenazo aniandikie bei na anapatikana wapi nije kununua. na pia kama ni home made au za nje
Kama unahitaji msaada wa namna ya kuandika research proposal, literature review na dissertation katika social sciences/humanities (hususan management, administration, development studies etc.)...
wakuu ninauza touch apple ipod with 8GB internal memory yenye muonekano mzur still kama iphone4s.ina support wifi,hotspot pamoja na itunes..haina mchubuko wwote iko vizur sana..bei 120,000 only...
Wadada wa JF leo nawaletea HANDBAGS za uhakika kutoka UK,bei ni nafuu sana tsh 60,000/- tu ofa maalum kwa wanaJF,Pia kuna viatu kama vinavyooneka kwenye picha bei ya viatu ni tsh...
Dear all....this is the Best Offer for Best Buyers
Htc wildfire only for 160,000/=tshs
Htc legand only for 160,000/= tshs
Htc desire a8181 only for 235,000/=tshs
Htc nexus one only for...
Inafaa kwa biashara na makazi, inatizamana na barabara ya morogoro, jirani na kituo kipya cha mabasi ya mwendo kasi, kodi maelewano. Inbox au piga 0784570595, dalali hatakiwi
Samsung galaxy s4 gt 19500 iko ndani ya guarantee ya two years. Hadi risiti ,box yake mpaka ear phones zake, kila kitu unapewa kama dukani vile. Changamkia dili utimize ndoto zako.
nyumba iliyopo kwenye uwanja mkubwa inauzwa ubungo kibangu, unaweza kujenga nyumba nyingine ya vyumba vitatu...(robo tatu acre)
location:ubungo kibangu
maji; yapo kwa jirani
umeme upo
parking...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.