Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari zenu wa kuu, mimi nategemea kuhama napokaa mwezi wa kwanza mwakani, naomba kama kuna dalali au mtu anayefahamiana na dalali anipatie namba au aniunganishe naye!! au kama kuna mtu anahitaji...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji king'amuzi cha startimes budget yangu 35000.. serious seller call 0713794962
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Nauza UPS kwa Tsh 60,000 mimi kwasasa sina computer hivyo haina kazi tena. Atakayehitaji ani PM
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KIwanja kinauzwa kigambon mikwambe kipo karbu kabisa na kwa pinda kiwanja kipo sehemu nzur gari inafika hadi pale. Huduma kama umeme maji, na miundo mbinu mizuri.kina ukubwa wa miguu 20 kwa 26...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Continental decoder for 60000 only, kimetumika kwa miezi 3 hakina tatizo lolote nimechukua dstv sina haja nacho. Tuma sms kwenye 0717017820
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kampuni ya Excellence Management International Inawatangazia wanafunzi wa vyuo mbalimabli Tanzania na Afrika Mashariki kuwa kutakuwa na mafunzo ya muda yanayohusu masuala ya utafiti (Practical and...
0 Reactions
0 Replies
812 Views
Nauza simu aina ya Nokia Lumia520 ni mpya kabisa na imetumika week moja(1) tu ipo katika box ikiwa na protector,simu cover na kila kitu kuanzia charger,câble na earphone...bei ni 250,000/= tu na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ramani ya Nyumba nzuri ya kisasa yenye: 1.Masterbedroom 2.Lounge/Sitting room kubwa ya seti mbili za sofa 3.Kitchen na store 4.chumba kimoja kulala 5. Common toilet. Ikiwa na michoro yake yote...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa anaeuza simu tajwa iwe in good conditions ani pm.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari zenu wanaJF, nina mtaji wa 150,000 naweza fanya biashara gani.naomba ushauri.naishi kurasini..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Natafuta kingamuzi cha startimes nina sh.30000 aliyetayari 0765480855 nipo malimbe mwanza
0 Reactions
6 Replies
980 Views
Toyota hilux pikup engine 5L iko ktk hali nzuri kbs,bei 27m Kwa wanaohitaji kuiona ipo dar simu 0713305000,
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Bei laki 4.5 ninazombili nauza moja niongezee mtaji ni hizi mpya nilinunua mwezi wa 6 nipo mwanza anayehitaji nipigie kwa 0788006200.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Maeneo ya Mkolani, Buhongwa. Nyegezi pia naweza kufikiria Chumba na sebule self contained, au Chumba kimoja self contained,au Siyo self lakini cha wapangaji wachache, angalau mmoja au wawili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani member yeyote anayeuza latop tajwa hapo juu ani-pm pamoja na bei yake asante.ILA IWE KATIKA HALI NZURI
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Nauza mahindi na mafuta ya alizet bei ya jumla contact 0756-654525.:welcome:
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu! Mwenye namba wa importer wa hizo ladies shoes anaeuza jumla na mwenye mzigo wa kutosha anistue! Reja reja sitaki! Then kuanzia hapo nitaenda kucheki mali then kama inalipa tutafanya...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Nauza modem ya vodacom (huawei) zile zenye slot ya kuweka memory card. Bei ni elfu 20 (20,000/=) ukihitaji call: 0712 122818
0 Reactions
2 Replies
1K Views
fremu nzuri ya biashara inapangishwa sh.laki moja kwa mwezi ipo tegeta ccm mita 50 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo..kwa anayehitaj plz call 0717483440
0 Reactions
1 Replies
954 Views
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom