Habari zenu wa kuu, mimi nategemea kuhama napokaa mwezi wa kwanza mwakani, naomba kama kuna dalali au mtu anayefahamiana na dalali anipatie namba au aniunganishe naye!! au kama kuna mtu anahitaji...
KIwanja kinauzwa kigambon mikwambe kipo karbu kabisa na kwa pinda kiwanja kipo sehemu nzur gari inafika hadi pale. Huduma kama umeme maji, na miundo mbinu mizuri.kina ukubwa wa miguu 20 kwa 26...
Kampuni ya Excellence Management International Inawatangazia wanafunzi wa vyuo mbalimabli Tanzania na Afrika Mashariki kuwa kutakuwa na mafunzo ya muda yanayohusu masuala ya utafiti (Practical and...
Nauza simu aina ya Nokia Lumia520 ni mpya kabisa na imetumika week moja(1) tu ipo katika box ikiwa na protector,simu cover na kila kitu kuanzia charger,câble na earphone...bei ni 250,000/= tu na...
Ramani ya Nyumba nzuri ya kisasa yenye: 1.Masterbedroom 2.Lounge/Sitting room kubwa ya seti mbili za sofa 3.Kitchen na store 4.chumba kimoja kulala 5. Common toilet. Ikiwa na michoro yake yote...
Maeneo ya Mkolani, Buhongwa. Nyegezi pia naweza kufikiria
Chumba na sebule self contained, au
Chumba kimoja self contained,au
Siyo self lakini cha wapangaji wachache, angalau mmoja au wawili...
Habari zenu!
Mwenye namba wa importer wa hizo ladies shoes anaeuza jumla na mwenye mzigo wa kutosha anistue! Reja reja sitaki! Then kuanzia hapo nitaenda kucheki mali then kama inalipa tutafanya...
fremu nzuri ya biashara inapangishwa sh.laki moja kwa mwezi ipo tegeta ccm mita 50 kutoka barabara kuu iendayo bagamoyo..kwa anayehitaj plz call 0717483440
nahitaji ramani ya nyumba yenye vyumba viwili vya kulala,master moja,dinning,sebure ya kuweza kukaa seti mbili za coach na vikoro koro kadha wa kadhaa,jiko,stool, choo cha public..SIMPLE BUT...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.