Huu ni mziki wangu nilikua natumia nyumbani kwangu naamua kuuza maana nahama mji wiki ijayo SIFA ZAKE NI
- unatumia dc na ac yaani solar na umeme wa kawaida
- una bass...
Fremu inakodishwa Mbezi mwisho kutoka stand ya Magufuli, Mbezi high school. Ni Km. 1.5 kwa njia ya Mpiji na kutokea Luguruni ni Km. 1.
Fremu ina ukubwa wa Sqm. 115 ndani, inafaa kwa...
Kwema wananzengo?
Anaejua zinapopatikana hizi sabuni anielekeze, naomba na bei yake kwa jumla, ndogo na kubwa tafadhali. Sitaki rejareja!
Asanteni
Usiku mwema!
Wadau habarini za kazi. Bado natafuta wateja wa kamba za katani.
Na pia naombeni msaada kupata kufahamu kuna wachina kwa dar wananunua sana kamba za katani. Mwenye kufahamu hili naomba anipatie link.
Karibuni mjipatie Shamba la eka saba na nusu kwa bei nafuu ya shilingi milioni 20. Shamba liko umbali wa kilomita tatu na nusu kutoka barabara ya lami ya Dar Morogoro. Shamba linafaa kwa ufugaji...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
Tunatengeneza mashine za kusaga pamoja na kukuboa mahindi,pia mashine za chakula Cha kuku,mixer za udongo pamoja na mashine za kufyatulia matofali,nk,karbuni sana wateja wetu tunapatikana mabibo...
Express and Quick Business Solution ni kampuni yenye uzoefu wa utoaji ushauri na huduma za usajili kimtandao kwa ufanisi na haraka.
Usajili wa Kampuni
Usajili wa log/Nembo ya biashara/Trademark...
Samsung galaxy jean 2 bado mpya nimetumia miezi mitatu tu tangu niinunue, naiuza 200k nipo Iringa mjini, ukitaka kufanya exchange na kitochi bei inapungua kidogo, ni simu yangu hakuna dalali.
Habarini ndugu, jamaa na marafiki.
Hizi ni habari njema kutoka Edem Construction Material
Je wewe ni miongoni mwa waathirika wa unyevu katika kuta za nyumba?? kama vile:
a) Rangi kubanduka...
Karibu upate Tanga stones. whatsApp +255 718755347 nipo Tanga, Mkinga (mgodini kabisa). jiwe kubwa moja utapata kwa Tsh 2,000/-, mawe madogo utapata kwa Fuso Tsh 250,000/- na square meter kwa Tsh...
Full set backery machine vifaa vyote vinafanya kazi. vimetumika mwaka mmoja tu! Yaan vingine ni vipya kabisaaa! Ukinunua kazi yako ni kununua unga nakuanza bakery yako!! (hatuuzi kimoja kimoja).
1...
Mimi ni fundi mahiri wa ujenzi. Nifundi mzoefu na mbobezi kwenye kujenga:-
Nyumba za makazi (single storey na double storey house)
Nyumba za biashara
Ujenzi wa mabwawa na
Mfumo wa kisasa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.