Hii simu ni used ninaitumia mwenyewe. Ukubwa ni Gb 64 internal memory rangi ya gray ina crake nyuma ila kioo ni kizima kabisa.
Nauza pamoja na ear buds Tsh 290,000 lakini kama unahitaji simu...
Habarini ndugu!
Nmeamua kuja na vitabu vya sheria kwa lugha ya kiswahili kwa ajili ya kuongeza uelewa katika mambo mbalimbali ya maisha ya kila siku,katika kitabu hiki utapata ufafanuzi katika...
Ndugu zangu wafanyabiashara na wajasiriamali ngoja niwape fursa kidogo ya kutangaza biashara zetu. Kwa wale wa matangazo ya ya kwenye spika yaani unakua unaplay eneo lako la biashara huku likitaja...
Samahan content haiendani na kichwa cha habari
Nauza polo shirts (form six) kwa jumla kuanzia piece 10 na kuendelea sh 11,500/=
Tunatuma mpaka mikoani
0713520180
Amani iwe kwenu ndugu zangu!
Naam nmekuja tena na vitabu vya sheria kwa kiswahili toleo la pili baada ya toleo la kwanza kufanya vizuri.
Vitabu hiki kimechambua kwa undani sheria zifuatazo...
Ñdugu zangu nina shida na Mtu anaejua lugha ya Kireno kiufasaha kuongea na kuandika Kwa uweledi .KUNA KAMPUNI INATAFUTA MTU ANAEJUA HIYO LUGHA YA KIPORTUGUESE KUONGEA NA KUTAFSIRI WANA TRIP YA...
Mashine mpya kabisa ya kutengenezea chaki inauzwa Tsh 300,000 tu
Ina matundu 100
Nipigie kwa 0769 863 484 tufanye biashara chap
Location: Dar es Salaam
Kama Tangazo linavyosema tunauza rim paper cartoon moja sh 65,000/= kwa aina zote za rim, kwa aliyeko dar ukichukua cartoon Zaid ya mbili unaletewa bure na tunatuma mpaka mikoani zifuatazo ni...
Bajaj ya ABIRIA inauzwa.
kampuni Piaggio
IGOMA-MWANZA
Uhakika elfu 20 kila siku
Haina shida yoyote, njoo na fundi wako mkague inapiga kazi mpaka sasa
njoo na 4mil uendelee na kazi
Tuwasiliane...
Karibu ujipatie Vipuri vya mitambo ifuatayo ila iwe ni brand ya CAT.
1. Grader
2. Dozer
3. Backhoe
4. Wheelloder
5. Roller
Vipuri kuanzia vya engine mpaka body parts utazipata. Na attach...
Gari ina sensor nyingi sana kama MAF sensor, MAP sensor, A/F sensor, IAT sensor, ECT sensor, TPS sensor, CPS, VSS n.k.
Lakini katika hizo sensor zote kuna sensor moja tu ambayo ndio sensor kuu...
Gari iko vizuri haina tatizo lolote kubwa, Engine haijaguswa. Bei ni Yah. Milioni 4.
Mnunuzi serious nicheki kwa 0758515303 au 0653 626295.
Niko Mwanza
Salaam wakuu
Kwanza nichukue nafasi hii kukushukuru kwa kufungua nakutaka kujua content zilizomo katika thread hii;
Mimi ni kijana mwenye kipawa Cha uchoraji michoro yenye uhalisia na huu uzi...
Wakuu habari za weekend,
Nahitaji contena la 10ft niko dodoma, kwa aliye nalo ama anayefahamu yanakopatikana naomba tuwasiliane
Mawasiliano 0623441247
Asante!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.