Wana jamvi, aliye somea COMMUNITY DEVELOPMENT (Maendeleo ya Jamii), HUMAN RESOURCES MANAGEMENT, mnakaribishwa kuomba Internship kwa wale mnaotaka kujifunza kazi hapa ndio pahala penu. Internship...
Nianze kwa kushukuru wadau humu JF kwa mchango wao wa mawazo hadi makala hii kukamilika.
Kwanza kabisa kabla hujafikiria kupunguza gharama za ujenzi unatakiwa kufahamu gharama halisi za ujenzi...
Habari za wakati huu wana JF Nitangulize shukrani zangu kwenu wana JF Tunapatikana Mwanza Mjini kazi tunazofanya uchapishaji wa MaT,shirt mabango aina zote vikombe sahani na Graphic miyanvuli I'd...
Tarehe 13 October 2022 nitakuwa na send off ya bint yangu. Mwenye gari la kukodisha aina hizo hapo juu na liwe rangi nyeusi tuwasiliane. Root itakuwa kutoa ukumbini (Baracuda Hall) Tabata Baracuda...
TANGAZO: Shule huria ya Kijiji cha Nyuki Singida inakutangazia mafunzo ya mwezi ya kuanzisha na kusimamia manzuki, kuvuna na kuchakata, na masoko ya mazao na huduma za nyuki za nyuki yatakayoanza...
Habari wadau, naomba kwa yoyote mwenye koneksheni ya frame ya biashara tuwasiliane.
Mahitaji:
Iwe maeneo ya kuanzia Mkuyuni hadi Buhongwa.
Iwe maeneo yenye mzunguko mkubwa wa watu.
Bei isiyozidi...
Habari, Mimi ni Johnson Yesaya Mgelwa, mkurugenzi mtendaji Ishai Real Estate.
Ishai Real Estate ni moja ya biashara chini ya kampuni inayoitwa Ishai Company Limited. Ishai Real Estate, ni...
Kwema wakuu,
Nafanya sole distribution ya bidhaa zifuatazo kwenu wenye maduka ya bidhaa muhimu ama FMCG na hata Pharmacy.
1.Sabuni za Ariel size zote (35gm, 500gm,1kg, 1.5kg. 3.5kg)
2.Always...
Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000.
Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000.
Unaweza lipa Kwa awamu 2.
Nipo, Dar es salaam.
WhatsApp 0689727165
Naomba kujua bei za frem na chumba kwa morogoro, na maeneo yote ya moro,sehemu palipo chagamka.
Sehemu ambapo unaweza kufanya bishara ya library ya movies,biashara ya nguo,gesi,n.k
Natanguliza...
Wakuu habari za mida, naomba udadavuzi wa hiyo pikipiki ikiwa mpya kabisa kuanzia bei ya dukani, usajili, bima n.k namaanisha kuanzia ununuzi wa hiyo pikpiki mpaka itakapoingia barabarani...
Tarehe 13 October 2022 nina send off ya bint yangu, nahitaji huduma ya min bus kama vile toyota coaster, Nissan civilian nk. Root itakuwa kutoka nyumbani Tabata kwa Swai saa 11.30 jioni kwenda...
Karne hii kumekuwa na watu wengi wanao shauri kuwa na tovuti/website kwa ajili ya kampuni au biashara.
Sa nyingine wamekuwa wakitangaza ivo, kwa ajili ya manufaa yao binafsi. Ikiwemo kujipatia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.