Kuna Eneo Zuri linauzwa lipo Chanika Adida Karibu na shule ya sekondari binafsi, lenye urefu wa mita 110 na upana mita 30, bei yake ni shilingi 50,000,000. Kwa mawasiliano piga namba 0788883962.
Viwanja vyenye hati miliki(title deed) vinauzwa kigamboni.
Ukubwa wake ni 1007 sqm, kipo Gezaulole block 24, na kingine 1543 sqm kipo kibada block 26. Bei ni sh 30,000 per sqm.
Pia kuna kiwanja...
Waungwana wanaJF habari zenu na poleni kwa pirika za maisha dhumuni la mtiririko huu kutoka kwangu ni kuulizia kama kuna mtu yeyote hapa jamvini anayo au anamfahamu mtu anayeweza kuuza au sehemu...
Wanajamvi wenzangu.
Kwasasa serikali imezindua kampeni ya virutubisho kwa watoto wenye umri wa miezi 6-miaka 5. Kampeni hii ambayo inafadhiliwa na USAID na Wizara ya Afya nia yake hasa ni...
Almost new Nikon D3100 with digital SLR features for sale. Some of the features include: DX format, 14 megapixels, capable of video recording, 18-55mm lens, 3 inch LCD screen, built in flash...
Wapendwa wana JF biashara ni matangazo nami natangaza yangu! Mie ni freelancer graphics na websites kwa bei nafuu! Pia kama una website na unadhan inahitaji marekebisho usisite kunipa tenda! Kwa...
Poleni na majukumu, kwa wale wajasiliamali wezangu nahitaji msaada wenu nimekwama, nimepata katenda ka kujenga networking mahali nimefanya kwa hatua zote, mwisho nimekwama kwenye Saver. Aina ya...
Hello wana JF
Ninauza printer za HP laserjet p1606dn. zimebaki chache, zina uwezo kwa kuprint duplex (double side) 22ppm na unaweza connect kwa usb au network.
bei 300,000/= tu.
APC Smart ups...
wadau nimehamia kwenye kamjengo kangu lakini bado sijapata umeme Naomba kwa anayejua wapi naweza kupata Generator ambalo halina kelele sana ili niweze kupata japo umeme kwa taa tv na friji. Mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.