MITSUBISHI L200 4LIFE, MANUFATURED IN 1999....JUST IMPORTED TODAY 17/07/2013 FROM THE UK, DUTY PAID, COMES WITH BLUE AND SILVER, 2.5cc TURBO DIESEL, MANUAL TRANSMISSION, DOUBLE CAB WITH MATCHING...
Wanajamvi kuweni makini sana na wanaotangaza kuuzwa kwa mashamba nk, majuzi nilienda mwanza, nilipofika mwanza nikapelekwa sehemu ambako nilitaka kununua kama heka5 za shamba maana sehemu yenyewe...
Shamba la ekari 6 linauzwa maneromango lipo karibu na barabara. Bei ni milini 6. Unaweza kulima karibu mazao yote kuanzia mahindi, karanga, matikiti, ngano, alizeti nk. Unaweza kupiga au kunitext...
Wadau nina bidhaa ya UNGA WA UBUYU, natafuta soko, ninao unga wa kutosha na bado naendelea kuuzalisha, mwenye kuhitaji awasiliane nami kwa namba zifuatazo 0712700280/0766550881. Napatikana Dodoma...
Wakuu,
Kuna shamba la ekari 100 linauzwa katika kijiji cha kidomole karibu na itakapojengwa bandari mpya bagamoyo. Ukihitaji kwa ekari ni laki 5 tu na ukinunua kuanzia ekari 20 bei inapungua...
Habari zenu wakuu,
Ndugu zangu kuna viwanja viwili vinauzwa kwa 7.5m na 10m,vipo MAKOKA MWISHO sehemu tambarale,kwenye hiyo bei pia maongezi yapo hivo bei ni maelewano! Kwa anayehitaji wasiliana...
Total - 100 Sq meters of space
Divided into 5 separate units, each with locking door
Prime location - in clock tower area (India Street)
Modern office, good view, clean and secure
Comes with two...
Wakuu habari zenu,
Napenda kujitambulisha kama mwanachama mpya hapa Jamii Forum. Naamini nitajifunza mengi zaidi kama mwanachama kuliko awali nilivyokuwa nachungulia tu kwa juujuu. Asanteni...
Shikamooni wakuu..hope wote mpo salama.mbarikiwe sana,mimi ni graduate,natafuta mentors especially waliosomea business related courses na ikiwa marketing itakua vizuri zaidi.Pia wenye uzoefu au...
Wanajf,naombeni mnisaidie juu ya kupata kazi kwa mtu,kampuni binafsi na viwandani na hata ya dukani ila iwe na masilahi,elimu yangu ni form 4 pia nipo dar es salaam,asanteni
Habari wandugu
Mimi ni mtaalamu wa mambo mbalimbali ninatafuta tenda za kupamba katika kumbi mbalimbali za sherehe, au shughulli kama vile mikutanoni, misibani, na shughuli yoyote, ni mtaalamu wa...
Poleni na majukumu, kwa wale wajasiliamali wezangu nahitaji msaada wenu nimekwama, nimepata katenda ka kujenga networking mahali nimefanya kwa hatua zote, mwisho nimekwama kwenye Server. Aina ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.